Anatoa tafakuri ya 'shit-hole countries' akitumia Nchi yake ya Nigeria (anayoitambua zaidi) kama mfano. Kijana huyo asema Nigeria ni nchi iliyo na taratibu za hovyo (shit-hole country). Na ataja mambo yafuatayo yaliyopo Nigeria ambayo yanaifanya nchi hiyo kuwa shit-hole country:
Nchi ambayo...
Mkuu, pesa kitu cha ajabu sana. Yaani mtu kabla akiwa sekondari akisikia mwanachuo alipwa kiwango fulani kwa siku, aitamani kweli aipate na yeye na aona ni pesa kubwa. Ila huyo huyo akifika chuo na kupewa kile kiwango tena wakati mwingine kimeongezeka (mazagazaga ya stationery/field) adai...
:D:p:) Naye mzungu akukodolea mijicho tena ayagonga kwenye macho yako direct halafu ukute ana yale macho flani ya kutisha (pichani) lazima uwe na hofu.
Mkuu umejitahidi sana, hongera zako. Nakushauri uwe wacheki samples za nje (Europe, US) kupitia internet kisha waziigilizia. Kiuhalisia ubora wa matarials utatofautiana lakini mvuto wa product zako machoni utakuwa ule ule (wa sample) kwa zaidi ya 85%.
Pia jitahidi uwe watoa majina (reference)...
Nime-google hiyo kitu nimeiona, kwa faida ya JF links ni hizi:
Heavily Indebted Poor Country (HIPC) Initiative
https://webcache.googleusercontent.com/search?q=cache:371JIgJUKRoJ:https://www.imf.org/external/pubs/ft/scr/2006/cr06198.pdf+&cd=1&hl=en&ct=clnk&gl=se
Hata mimi pia...Ila nimecheki nimeona wazungu nao eti wanauita hivyo hivyo kana kwamba ni wa kwetu Waafrika!Symptoms, Diagnosis, & Treatment | Chikungunya virus | CDC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.