Karibu Temeke kwenda town ni simple na maki yapo ...jimbon kwa mtemvu...Taifa pale mechi zote hamna baa kiivo Kama kino usisahau gar nyngine ziafika hapa mf za tbt,..
Mbunge wangu ni Mwl na Mhe waziri TAMISEMI Mh.AGGREGATE MWANDRY kule Siha tulipata wilaya ikasogoza marndeleo Karibu na wananchi tuna maki Mpaka maebeo ya ndanindani,tuna umeme wa REA Karibu vijj vyote sekondar za kara usiseme hadi juz tatu zimepandishwa hadi ya advance, barabara safi kuna...
Nyie ni wapumbavu yani kwenu mtu akiwa maslahi tofauti na upinzani kwenu ni usaliti mnataka kila mtu awe mpenzan .....huku ni kukosa akil na kutoijua demokrasia....
Hao ukawa wapuuz tu na njaa zao za420000...wenyevit wazima washawishiwe na juma na lisa huo ni umbea;wao wanamalizia kutuibia tu:
Serekal ni mbil tu hutaki unda nchi yako na warioba muungozane
Maneno mengi huna hoja mi nimesoma shule za serekali na nipo chuo kikuu kinachoshika nafas ya nne afrika ubora haupimwi na poroja fanyeni utafiti.juz chuo kilihitaji waalimu wasaidiz likaja jamaa la saut lina gpa ya 4.4 likashindwa na mtu wa 3.8 toka mliman
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.