Sita ni kapuku tu...
Anaastajabisha hii habari anayosema amepewa taarifa UKAWA wapo ofisi za kudai posho anaongopa basi huyo ni zaidi ya Kapuku duh kweli ni mchizi
Sita ni kapuku tu...
Hawa UKAWA ni Wendawazimu, Mashetani, Mazimwi, Majuha, Majini yasiyokuwa na huruma hata chembe kwa Watanzania, Watu wanatoka Bungeni bila kwanza kutuuliza sisi Watanzania halafu wanarudi tena bungeni kupanga foleni ya kuchukua bposho. Hakika watu hawa ni maiti zinazotembea. Ni Mbwa kasoro mikia.
Mchungaji njaa uyo,waumini wamejitambua matokeo yake acc.ya M-pesa inasoma negativeHalafu cha kusikitisha, ni mchungaji mmoja ambaye ni mjumbe wa BMK kusimama mwishoni mwa Bunge akiomba kutoa taarifa. Taarifa aliyoitoa karibu nitapike. Eti anadai kwamba tangu Ukawa waondoke Bungeni, amepokea simu nyingi zikipongeza hali ya bunge na kutaka iendelee hivyo hivyo. Akaenda mbali sana kwa kusema kwamba wananchi waliompigia simu wameusifia sana uongozi wa Six. Kweli uchumia tumbo ni kitu kibaya sana.
Sita ni mwongo kabisa...huyu jamaa huwa haaminiki
Halafu cha kusikitisha, ni mchungaji mmoja ambaye ni mjumbe wa BMK kusimama mwishoni mwa Bunge akiomba kutoa taarifa. Taarifa aliyoitoa karibu nitapike. Eti anadai kwamba tangu Ukawa waondoke Bungeni, amepokea simu nyingi zikipongeza hali ya bunge na kutaka iendelee hivyo hivyo. Akaenda mbali sana kwa kusema kwamba wananchi waliompigia simu wameusifia sana uongozi wa Six. Kweli uchumia tumbo ni kitu kibaya sana.
Tumaini Makene na wenzio hampaswi kuaminiwa habari nyingi mnazoleta hapa jamvini ni za kupikwa.
Tumaini
Makene na wenzio hampaswi kuaminiwa habari nyingi mnazoleta
hapa jamvini ni za kupikwa.
Tulitegemea maccm mjikite kwenye hoja ya serikali 2 cha ajabu mmejikita kuwajadiri UKAWA.
Hawa UKAWA ni Wendawazimu, Mashetani, Mazimwi, Majuha, Majini yasiyokuwa na huruma hata chembe kwa Watanzania, Watu wanatoka Bungeni bila kwanza kutuuliza sisi Watanzania halafu wanarudi tena bungeni kupanga foleni ya kuchukua posho. Hakika watu hawa ni maiti zinazotembea. Ni Mbwa kasoro mikia.
hongera nyingi sana kwa UKAWA, palipo na UKAWA ni dalili ya uwepo wa MUNGU maana UKAWA ni HAKI na AMANI
Kifo cha ccm kitakua kibaya sana, kwa sababu environmental changes za death phases zinakuwa worse and worse everyday.
RIP ccm!!
Si vyema sana kuwatukana hawa wazee wetu, ila nadhani ilipaswa kuwepo kanuni kuwa kabla ya mtu kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti, lazima apimwe akili.
nccr,tlp,na cdm ni mfu Ccm itatawala Mpaka mwisho subirini 2015,umesahau igunga,kalenga na chalinzeeee...Kidumu cha tawala
Wekeni orodha ya
Wana UKAWA wote ili tukuonesheni waliorejea mpaka siti walizokaa! Tatizo
mna Mboni za Macho ila hamuoni, mna ngoma za masikio ila
hamsikii