Thanks boss nitapitia hivyo vitabu na literature zingine kuongeza uelewa, nilisoma chuo na kwenye proffesional exams katika somo linaitwa international Finance , sikujua undani wake hii kitu, sasa naanza kupata mwanga in real practice
Asante sana mkuu, nitafanya juhudi kubwa kujifunza, na msinichoke jukwaani kwa ufafanuzi, nasubiria seminar kwa hamu hata bei gani nitatoa for learning. Ubakikiwe sana
Mkuu Lodrick salaam,
Nimevutiwa sana na hii isu ya forex, na nimesikitika nimechelewa kuisoma na kupata hamasa nayo, kimsingi baada ya kuwasoma nimehamasika, please help me for mentorship connection and where do i start, najua nimechelewa but naamini there is opportunity for me. Thanks in advance
Wakuu nahitaji mawasiliano ya namna ya kupata mentorship kwenye Forex business please, namtafuta mkuu Ontario kwenye JF massage naona yuko tite hajaona my msgs, msaada plz, and thanks in advance
Comrade Nguruvi3 za siku?
Nakumbuka sana toka CDM walipofanya uwekezaji wa Lowassa/Sumaye na wafuasi wao, tulionya kwamba ni unpredictive Investment na wasipoangalia basi wanakwenda kuangamiza chama chao. Na kama ulivyochambua kwa kina kwenye mabandiko yako yaliyotangulia, hali imekua mbaya na...
Yaani siku hizi huwa napenda sana kusoma comedy zako kupunguza stress za kitaa, una vituko sana ww jamaa, yaani unahitaji sana msaada wa kisaikoojia, haupo sawa ndg yangu
Wakuu wangu Nguruvi3, Mag3, Jeff na wengine,
Vp kuna possibilities zozote za kurabkuwa recounted kwenye uchaguzi mkuu wa marekani, je kuna loophole yyt. Na kama ipo wht if ikaonenekana kuna makosa, nini impact yake kwa mshindi?? Japo najua mpaka sasa mshindi rasmi hajatangazwa.
Fuatilia...
FBI wamemsafisha bi Hillary ba saga la emails siku tatu kabla ya uchaguzi,
FBI Director James Comey told lawmakers Sunday the agency hasn't changed its opinion that Hillary Clinton should not face criminal charges after a review of new emails.
Comey had dropped a bombshell 11 days from the...
Nawawhukuru sana Nguruvi3, Mag3 na Jokakuu, nimepata shule ya muhimu sana. Kimsingi nimetambua kwamba wenzetu wapo mbali sana kwenye mambo mawili kwanza uwazi na clear processing za kila wafanyacho, yaani kuna miongozo kwenye kila jambo, kiasi inaonekana kabisa wapi pana kosa au wapi pana...
Asante sana wadau tu aendelea kuwafuatilia na kuchangia tunapoweza.
Nguruvi3 na wadau,
Tumeona issue ya email iliyoibuliwa na Comey director wa FBI kama imempa hedge Trump na kumkandamiza sana bibi Hillary na kampeni yake, najiuliza timing yake huyo bosi ni sahihi kweli kwa alichokifanya na je...
Hili suala la email naona lina mu attack vibaya sana H . Clinton, mpaka sasa naona vyombo vingi vya habari vimeishambulia hii isu na kuwa ajenda kubwa sana, naona ka a hili suala litamletea sana twist kubwa, na mbaya zaidi muda umeisha sana kutecover any damage within time
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.