Recent content by KING SAM

  1. K

    Wadau Mwenye ufahamu juu ya gari za Audi a4 tafadhali

    Jaman habari ya saa hizi? Sorry kuna mtu anataka kuniuzia AUDI naomba kujua uzuri na ubaya wake
  2. K

    Malipo Internship ya Udaktari

    Hapo kujanja ni kwenda kufanyia intern sehemu ambapo huwa wanatoa pesa bila kutegemea mpk serikali itume pesa.wao kama hospital wanawalipa interns then wanasubiri serikal ikilipa wana replace
  3. K

    Kuna tofauti gani kati ya Home Theatre na Sub-woofer?

    Inatembeaje dukan hii mzee baba.price??
  4. K

    Kuna tofauti gani kati ya Home Theatre na Sub-woofer?

    Sound bar huwa naona kama hazitakua na mziki mzito coz nyingi nazoziona huwa naona zina watts 330 yako ni model ipi moss.specification please
  5. K

    Mwanangu wa siku mbili amefariki dunia, alichomwa sindano baada ya joto kupanda

    Sio kila kitu lazima kipimwe dada. Na ninaongea hivi nina uzoefu wa kutibu watoto kwa miaka mingi
  6. K

    Mwanangu wa siku mbili amefariki dunia, alichomwa sindano baada ya joto kupanda

    Sure. Kwanza mtoto kulia sana ni dalili ya infection,pia joto kupanda ni dalili ya infection na kwa siku hizo huwa tunaita ni early onset neonatal sepsis na matibabu ni kumu expose mtoto,i mean kumpunguza nguo mtoto ili joto lishuke na kumpa antibiotics kama alizosema mchangiaji hapo juu Na...
  7. K

    Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

    Kuna stage nne au kitaalamu tunaita degree.1st degree mgonjwa atasema akimalizia haja kubwa inatoka damu ambapo hatakua na maumivu,hiyo damu anaweza iona wakati wa kujitawaza kwa kutumia tishu,or mara nyingine inatoka kwa wingi unaweza kuiona kwenye sink la choo but maumivu yanakua hayapo...
  8. K

    Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

    Kuna stage 1 mpk 4 stage ya nne mtu akikwambia utumie dawa au mafuta sijui ni muongo.
  9. K

    Hospitali gani nzuri ya kuondoa Bawasiri au Uvimbe?

    Bawasili ina stage zake ndio maana kuna stage unaweza tumia dawa tuu ikapona lakin kuna stage inahitaji operation
  10. K

    Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

    Ooh kama movies haina subtitle ndio vlc inaandika no history au mm ndio sielewi?
  11. K

    Mzee, unapenda movies kali? (Session 04). Weekend hii ruka na hizi!

    Nazitufuta kila nikiitumia unakuta baada ya mwezi inazingua
Back
Top Bottom