




tarehe ? 🤔Mbona mambo bado chief kuna watu tulikaa mpaka tarehe 60/
Tarehe 60 mwezi wa februarytarehe ? 🤔
Ebhnee polen Sana .....Tarehe 60 mwezi wa february
Hapo ni jumla ya miezi miwili bila bila
Jikoni wanasemaje huko,Ebhnee polen Sana .....
soon mambo yatakua mazuri vumilieni ndugu.
Ha ha ha mkuu nipo Namanyere huku vyeti nliwekaga kwenye tranka.....🤣Jikoni wanasemaje huko,
mitano 5 tenaaaaNajiuliza tu hivi serikali inakuaga na bajeti ya intern Doctors au hua ni mpaka wazitafute, kama zipo kwenye bajeti kwanini zisitolewe on time? Imagine tupo hospitalini toka 10 november hapo tulitumia zaidi ya malaki kufata provisional registration MCT dodoma (mzigo kwa wazazi).
AUkizingatia mazingira kwa wengi wetu ni mapya tulipanga kujiegesha kwa kulipa mwezi mmoja sasa umeisha na hakuna dalili yoyote ya kupata, serikali kwanini msitoe hela mapema tujikimu..chakusikitisha zaidi ni mwezi sasa hatujapewa logbook ambazo tulizilipia 10k, huo usajili tu 40k ,nauli kama upo rukwa ni zaidi ya 100k.
Sasa serikali ya mwanafunzi asiye hata na transcript atazungumziaje tatizo la intern?Anajua vizuri sana kuwa intern siyo mwanafunzi. Anachosema serikali za wanafunzi walipigie kelele kwani Hilo tatizo linajirudia mwaka hadi mwaka.
Hapo shida ni hazina ndio wanalipa hizo pesaNdio maana nilisema turudi nyuma kidogo, Intern si alikuwa mwanafunzi ?
Kulitakiwa kuwe kuna "smooth transition" kutoka hatua ya uanafunzi mpaka kuwa intern na kupata kibali cha kudumu cha kutibu, ni rahisi kupigia kelele mkiwa chini ya mwavuli wa uanafunzi kabla ya kutawanywa huko kwenye vituo mbali mbali na majukumu mbali mbali sauti inaweza isiwe na nguvu ya kutosha. Ni maoni yangu tu mlioko kwenye fani mnaelewa zaidi !