Mbona hayo mambo niyakawaida sana tena hufanyika kimila huku kwetu.
kwetu imekuwa hivi mashangazi ndio wachezeshaji humuita mwanamke nakumwambia kijana wetu tunahofu nae sasa jipendekeze kwa nduguze ambao niwadamu na mashangazi ndio watamchagulia.
Then mwanamke sikuzake za hatari kwakila namna...
Wamkuu naomba unisaidie nini maana ya ndoto hii.
Mara kwa mara nilikuwa naota ndoto nakemea wachawi / mapepo unakuta nimelala ninaota ndoto kunawatu wamezunguka kitanda changu au mara nyingine wamenikaba.
basi huaza kuwakeme nanikiona wananishinda kiwanyoshea kiganja cha mkono hutoa moto naku...
naomba ni saidie kwa kirefu ni muda nina matatizo sana nimekua nasali ila siwezi kusali zaidi ya dakika 15
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
halo wakuu nimetoa kuna mtu kani jerui jeraha kubwa sana kichwani kiasi kwamba ninasubiri tu kufa sasa nikashituka wakatai nina daí bima yangu ya maisha ili Jamii yangu iweze fidiwa . ukweli nilipo shituka nilijikuta na maumivu makali sana kichwani nikasali sana nini maana yake
halo mkuu nimetoa kuna mtu kani jerui jeraha kubwa sana kichwani kiasi kwamba ninasubiri tu kufa sasa nikashituka wakatai nina daí bima yangu ya maisha ili Jamii yangu iweze fidiwa .
ukweli nilipo shituka nilijikuta na maumivu makali sana kichwani nikasali sana nini maana yake
duuuh wewe mwana Mama feiza sikuelewagi kama vile muda wote unastresss upo kisharishari yani mtu kukosea speling tu wewe unatusi elimu yake duu!!!.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.