Habari wakuu.Mwenye Dashboard au Mwenye Uwezo wa Kunisaidia Sehemu Nitaweza Kupata Dashboard Ya Mitsubish pajero.Zile Toleo ya Kwanza.
BEI tutaelewana.
Wakuu habari
Ikiwa imepita miezi miwili tangu Halmashauri zipewe kibali cha kuajiri WAHASIBU WASAIDIZI IDARA YA AFYA NA Halmashauri zikafanya Ivyo.
Mpaka sasa HALMASHAURI AZIJAJUA AWA WAHUSIKA LINI WATA ANZA KUWAJIBIKA.
Kupitia Jamii Forum,Tunakuomba Mh.katibu,Waziri husika tupe Hali Halisi...
Wakuu za Wakati Tena..
Nikiwa Natimiza Miezi 8 Tangu Nimeamia Makao Makuu ya Nchi (Dodoma),Nimebaini Kuna Hujuma katika usomaji wa Meter kwa Wateja wengi.Last Month Nilikatiwa maji,Sijarudisha Mpaka sasa ..Sasa Kinachoendelea Kutokea Ni kwamba Naendelea Kupokea Bili Kutoka Idara ya Maji Hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.