king of the North
Senior Member
- Jul 26, 2016
- 102
- 55
Habari wakuu.
Serikali kupitia Halmashauri zake Tanzania Nzima imeajiri Wahasibu katika Vituo vya Afya kwa Mkataba.Hoja yangu kwa anaelewa Hii kitu ya mikataba ya serikali katika Kuajiri,Serikali itaweza pitisha hizi ajira zikawa ajira moja kwa moja.?Ama serikali Baada ya mkataba kuisha waweza kuto zifanya ajira Rasmi.
naomba Msaada kwa anae elewa HII Mikataba ya ajira za serikali.
Mfano wa Tangazo katika halmashauri za wahasbu wasaidizi ni hili Hapa.
Serikali kupitia Halmashauri zake Tanzania Nzima imeajiri Wahasibu katika Vituo vya Afya kwa Mkataba.Hoja yangu kwa anaelewa Hii kitu ya mikataba ya serikali katika Kuajiri,Serikali itaweza pitisha hizi ajira zikawa ajira moja kwa moja.?Ama serikali Baada ya mkataba kuisha waweza kuto zifanya ajira Rasmi.
naomba Msaada kwa anae elewa HII Mikataba ya ajira za serikali.
Mfano wa Tangazo katika halmashauri za wahasbu wasaidizi ni hili Hapa.