Wale wa Msimu uliopita waliokuwa wanatuletea Makala za uchambuzi za mbinu za Slot kwa hiyo walikuwa wakitudangnya?
Mbona sasa hivi hawatuandikii tena hizo Makala za ufundi wa Slot?
Leo February 18, Mtu wa mwisho kupost humu ilikuwa ni February 10.
Zimepita siku 8 bila ya Mtu yeyote kuandika chochote.
Dah! Kweli Kichwa mviringo muuwaji! Ametuulia Timu ameuwa na Thread pia.
Fanboys wa Arsenal msimu uliopita walisema tulibeba ubingwa kwasababu Timu nyengine zilikuwa mbovu.
Je, msimu huu wanasemaje? Wanahisi wanaongoza ligi kwasababu Timu nyengine ni mbovu?
Nadhani wameshajifunza kitu kuwa ni hali ya kawaida kubeba ubingwa pale wengine wanapokuwa hawapo vizuri hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.