Captain tulia kwanza huu uchambuzi utatuponza 😂
Nakumbuka Slot mulitamba sana na chambuzi za kiufundi kwenye mbinu za Kipara wakati alikuwa ni Muhuni tu 😂
Kwa Iraola hatutaki tena stori na makala za uchambuzi za kina Captain Marvelous na MoNA 😂
Tunataka kazi tu tuione uwanjani musije kutuletea makala za kusifu kama mulivyokuwa mukichambua mbinu za Slot halafu mukapotea kusiko julikana na uchambuzi wenu.
Kwenye mpira nako kuna siasa
Yule Kichwa amefukuzwa ila kwa vile alishabahatisha kombe moja pale Liverpool wakaamua tu kumuondosha kwa heshima.
Just walimwita wakamwambia wewe kichwa sisi hatuwezi kuendelea tena na wewe hivyo kwa heshima tu andika barua ya kujifanya unajiuzulu malipo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.