Recent content by King Ngwaba

  1. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Captain tulia kwanza huu uchambuzi utatuponza 😂 Nakumbuka Slot mulitamba sana na chambuzi za kiufundi kwenye mbinu za Kipara wakati alikuwa ni Muhuni tu 😂
  2. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwa Iraola hatutaki tena stori na makala za uchambuzi za kina Captain Marvelous na MoNA 😂 Tunataka kazi tu tuione uwanjani musije kutuletea makala za kusifu kama mulivyokuwa mukichambua mbinu za Slot halafu mukapotea kusiko julikana na uchambuzi wenu.
  3. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Timu yetu vipara hawafit kabisa
  4. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Well come to hell
  5. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kama vile Andoni Iraola amepewa msimu mmoja wa 2026 - 2027 hivi Ngoja tusubiri tuone ni nini atatupatia
  6. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kichwa Mviringo Man United wakimtaka anaweza kuwa mbadala wa Carrick.
  7. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Leta Kocha wa Viwango au Experienced Top Couch tubebe ubingwa wa EPL next season itakapo commence.
  8. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hatupo tayari tena kuona Timu mbovu ikibeba ubingwa wa EPL kama ilivyotokea msimu huu uliomalizika
  9. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Amani sasa imerudi kikamilifu aisee! Kocha misimu miwili mpaka leo hajulikani anafundisha mpira gani yaani kila kombe tunalogusa tunatolewa
  10. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kwenye mpira nako kuna siasa Yule Kichwa amefukuzwa ila kwa vile alishabahatisha kombe moja pale Liverpool wakaamua tu kumuondosha kwa heshima. Just walimwita wakamwambia wewe kichwa sisi hatuwezi kuendelea tena na wewe hivyo kwa heshima tu andika barua ya kujifanya unajiuzulu malipo ya...
  11. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nimekuwa na Amani tu tokea juzi Kichwa mdundiko hatunaye tena
  12. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    As long as yule Kichwa kama Busha ameondoka basi it's fine haya mengine yanazungumzika
  13. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    FSG wana imani kubwa sana na Kichwa mviringo hivyo tuwe wapole tu next season kama kuna maumivu tujipange kuyazoea
  14. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nyinyi furaha yenu huwaga ina maisha mafupi sana hili linajulikana
  15. King Ngwaba

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kmmke Slot
Back
Top Bottom