Recent content by King Ngwaba

  1. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii ni Hii inaonesha wazi hawakuwa wachambuzi bali walikuwa wapiga Ramli tu kudanganya watu kupitia terminologies za mpira.
  2. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Wale wa Msimu uliopita waliokuwa wanatuletea Makala za uchambuzi za mbinu za Slot kwa hiyo walikuwa wakitudangnya? Mbona sasa hivi hawatuandikii tena hizo Makala za ufundi wa Slot?
  3. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Huyo kichwa aendelee tu kutuulisha
  4. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hasa Huu mwezi Mtukufu na Mfungo wa Kwaresma hatutakiwi kupoteza muda kwenye mipira.
  5. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kichwa mviringo anaitafuta Top 4
  6. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sema Kichwa Mviringo huu Msimu ana nafasi ya kubeba UCL muhimu atulize akili tu lakini end of May tunaweza kurudi na furaha hapa
  7. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Leo February 18, Mtu wa mwisho kupost humu ilikuwa ni February 10. Zimepita siku 8 bila ya Mtu yeyote kuandika chochote. Dah! Kweli Kichwa mviringo muuwaji! Ametuulia Timu ameuwa na Thread pia.
  8. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Yaani linafungwa halafu kwenye Press unakuta linajichekesha tu na kipara chake kama meza ya kamari 🚮🚮🚮
  9. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Huyu kichwa anainajisi Anfield 🚮🚮🚮🚮
  10. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Fanboys wa Arsenal msimu uliopita walisema tulibeba ubingwa kwasababu Timu nyengine zilikuwa mbovu. Je, msimu huu wanasemaje? Wanahisi wanaongoza ligi kwasababu Timu nyengine ni mbovu? Nadhani wameshajifunza kitu kuwa ni hali ya kawaida kubeba ubingwa pale wengine wanapokuwa hawapo vizuri hata...
  11. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    😀😀
  12. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hivi kumiliki Pistol na kuingia nayo pale Liverpool inahitaji masharti gani? Nataka nikamalizane na Kichwa mviringo akapumzike Mbinguni.
  13. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ukishamaliza Sikukuu ukumbuke tu kuwa bado tuna Kichwa mviringo huku anakusubiri
  14. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kichwa mviringo nasikia sasa hivi anajiita DON SLOT invincible
  15. King Ngwaba

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Kichwa mviringo tokea ishinde mechi mbili mfululizo inatwanga Interview na Press tu huko! Yaani inajikuta kama Pep Guardiola au Alex Ferguson vile 🚮🚮
Back
Top Bottom