Ndo dunia ya Western inavyotengeneza mambo kwa Sanaa na ufundi wa hali Juu....!!.
Uislam kwa uwazi upo against their culture,ambapo pia matendo yao (westerners) mengi ni kinyume na Christianity ideology ulio ktk bible....
Christianis ni kama imeshaukubali mfumo huo na kuishi nao ingawa...
Siamini kama hill ndilo linatokea hasa kwa wale wenye kuvaa kwa kumaanisha.....
hata katika nchi zetu wapo dada zetu wanaovaa kama fashion tu na sio kwa imani ya kujisitiri...
Ama ni kulitia DOA tu vazi ..
.
Mavazi yanayotunza utu,heshima na Hadhi ya mwanamke hayatakiwi...!
Angalia sanamu au picha inayoambiwa ni bikira Maria,..angalia ma-sisters wanavyovaa ndani na nje ya maeneo yao ya ibada, kama alama ya heshima na unyenyekevu ambapo hao ndio role modal ya ki-imani kwa mabinti wanavyotakiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.