Si kweli. Kuna utofauti mkubwa sana kati ya law school na vyuo vinavyofundisha sheria, hii ndiyo hupelekea wanafunzi wengi wanaojiunga na law school kupata ugumu.
Nb. Ukitaka maelezo zaid na namna ya kufaulu nitafute
Wajumbe kama wajumbe😃😃😃
Takribani madiwani 20 wa chadema waliojiunga ccm kuunga juhudi za Rais Magufuli wameangukia pua kwenye kura za maoni huku eti wakidai wamehujumiwa na wajumbe.
Hatua hiyo imedhihirisha wazi kwamba wenye ccm yao wapo na sio wahamiaji kama walivyopigwa mweleka kwenye kura...
Kwakweli God is good maana umemaliza kila kitu
QUOTE="Gluk, post: 34124705, member: 424046"]
Mwanamke kutwa unalalamika wanaume waongo kwenye mapenzi wakikutumia tu wanasepa, huna hata akili ya kufikilia kwann kwako wagonge wasepe hawaingii ndani? Na daily unahudhuria harusi za wasichana wenzio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.