Hakika Dhambi Ya Ubinafsi Imetimia! Loo! Hakuna Tanzania wala Zanzibar ! Unguja na Pemba zikiwa mamlaka kamili kutatokea mamlaka za kikabila na koo! Jamani watawala mko wapi? Gutukeni sasa anzeni kuigawa keki ya taifa sawa2! ubinafsi ukandamizaji wa haki za watu na uchoyo wa madaraka matokeo...
Watanzania Tugutuke! kwanini viongoz wa nchi wako kimya kukemea ufisadi? Hivi ni nani aliyetuloga? hivi Tanzania bila Rushwa bila CCM bila UFISADI haiwezekani? ebu watanzania wezangu tuungane kuuyakataa madudu yanayofanywa na utawala wa CCM! Hii inanifanya niamini CCM sera yake ni kufanya...
Pole ndugu yangu! kuwa na maambukizi ya vvu sio mwishn wa kuishi! cha msingi zingatia ushauri nasaha, kuwa muwazi kwa mkeo kama unaona vigumu mwambie ombi lake la kutaka mkapime umeridhia mwende mkapime! Unatakiwa ujiamini na uishi kwa matumaini!
Ndugu yangu Ndoa inastahili kuheshimiwa na watu wote! Muogope Mungu pia mheshimu kaka yako pamoja na family yenu! Jiulize kaka yako kapenda hali hiyo imtokee? Je ungekuwa wewe ufanyiwe hivyo na kaka yako ungefurahia? Mahusiano kwenye familia yenu yatakuaje? ukifanya ufedhuli huo utapata faida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.