Ingelikua vyema neno "Kusumbua" likanyambuliwa vizuri wanasumbuaje "vile vitendo". Yawezekana wao wako katika majukumu yao ya kila Siku na ndio eneo lao la kazi. Madereva wa vyombo vya Moto Kuingia Ofisi ya RC au DED haimaanishi yasikaguliwe. Iko wazi ukiombwa Rushwa Toa taarifa kwa viongozi...
@Nifah Swaiba, Rafiki. Kuna watu kwetu ni ngumu kukubaliana na hili mliloliamua. Twatamani tuwaitishe pamoja ili tu solve hili jambo. Kwakuwa mmeamua kwa kuridhia wenyewe pasi sisi kuwashauri basi ikawe Njema kwenu.
Ila Isigeuke vita baina yenu.
Katika maisha zipo nyakati, ambazo naweza sema ni nyakati ngumu sana na zina misukosuko mingi, kiasi cha kwamba usipokuwa makini unaweza ukaachana na kila kitu kutokana na nyakati hizi kuwepo kwako.
Nyakati hizi ngumu katika maisha ya mwanadamu huwa zinatokea sana na inawezekana pia hata hivi...
Kwa muda mrefu kumekuwa na Magenge mbalimbali ya Utapeli kupitia Mitandao, Waganga na hata Wafanyabiashara. Hadithi n nyingi kuhusu magenge ya watu hawa. Yawezekana una ndugu, rafiki au hata jamaa aliyekumbwa na kadhia ya hii ya kutapeliwa.
Zipo taarifa kuwa ndani ya Magenge haya kuna watu wa...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amemteua Ndg. Humphrey Polepole kuwa Mbunge Katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Polepole ni Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM - NEC, itikadi na uenezi.
Nini kimelegwa hapa?
Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Bado anapaswa kuhudhuria vikao vya uteuzi wa kamati za Wilaya huko Sengerema..At the Same time anatakiwa kuwa DED Same. Anajigawaje. Actually yeye ndio kaomba kuachia ngazi.
Taratibu za Utumishi wa Umma zinasemaje? Na katika hali.ya Kawaida huwezi tumikia Mabwana wawili kwa wakati mmoja. Hapo lazima mmoja utakuwa mchepuko..
Yaani Annaclaire DED Same au mgombea Ubunge Sengerema. Wakati wa kutangaza washindi yeye anatangaza Same kwake afu yeye atangazwe Sengerema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.