Recent content by KING DAWIZ

  1. KING DAWIZ

    JAMAN NAOMBENI ANALYSIS YA KINJEKETILE PLAY YA LITERATURE IN ENGLISH PLIZ unaweza kunitumia kwa email yangu dausond4@gmail.com

    jamani naombeni analysis ya Kinjeketile by Ebrahim N hussein unaweza kunitumia kwa email yangu dausond4@gmail.com
  2. KING DAWIZ

    Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

    Sister we are here for building the nation so let we compact together so as we pull our country from poor country to rich country
  3. KING DAWIZ

    Anna Mghwira: Tuendeleze mjadala wa Mikopo ya Elimu ya Juu na tuchukue hatua

    Mama Anna Mghwira kwa pamoja tukiwa kama watanzania tunaweza tukafanya jambo kubwa la kihistoria ambalo halikuwahi kufikirika hata kidogo pamoja na wazo hili zuri ningependa kukupongeza kuwa na roho ya kuwaza kusaidia watanzania wenye muelekeo wa kuweza kupata elimu ya juu mimi nikiwa mmoja kati...
  4. KING DAWIZ

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Mimi binafsi ninapenda kumpa pongezi za dhati Mhe Dr. John Pombe Magufuli kwani tarayi tumeona mabadiliko makubwa katika sekta mbali mbali za uongozi ikiwemo utekelezaji wa ahadi zake alizoahidi katika kampeni zake za mwaka 2015 isitoshe ningependa kutoa maoni pia kwamba kuna baadi ya watu...
  5. KING DAWIZ

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    Tuma link mkuu maana madogo wanasumbua sna yan had wanakera
  6. KING DAWIZ

    University admission results updates (Matokeo ya udahili vyuoni)

    jamani hivi post za vyuo vikuu zinatoka lini maana kuna wadau wangu wa elimu wananisumbua sana
  7. KING DAWIZ

    Former United Nations Secretary-General, Kofi Annan is dead

    R.I.P our former UN general secretary
  8. KING DAWIZ

    Bachelor sugu naomba ushauri wenu wakuu

    kaka pole sana kwani hili nlo ni tatzo kubwa cha kukushauri bwan kaka we ndo mwenyemakali najua huyu dogo anayejitia kimbelemble achana nae kwan wewe najua ni mtu mkubwa sana umepitia mengi na umeona mengi sana hebu mtengenezee future hyu bwana mdogo kwani kama ameshindw kusoma mtafutieni njia...
  9. KING DAWIZ

    Diva: Kama huna milioni 500 huwezi kunioa

    sema watu wengine wanajion wazuri kumbe hata mke wangu anamzidi tu huyu anayesema milion 500 anazijua au anazisikia tatizo VYUMA VIMEKAZA TUMEWEKA vilainishi lakini bado viamekaza ataambulia matusi tu kwa watu wana hasira na uchumu kwa sasa
  10. KING DAWIZ

    Tatizo la kunywa Damu yangu mwenyewe nini shida, naomba ushauri

    kwanza nianze kwa kukupatia pole mkuu kwani hili ni swala zito sana lakini cha kukushauri tu mimi naomba nikushauri sana kufanya maombi kila mara ili mungu akuepushe na hili jinamizi la kupenda damu yako mwenyewe. 1.hizi zote ni dalili za majini machafu kwa hiyo chakufanya jaribu ufanya...
  11. KING DAWIZ

    Bakwata kwanini mwatufanyia hivi?

    duh sasa hiki kitu mbona kinakuwaga kinachanganya watu wengi sana jamani tatizo nini lakini ?
  12. KING DAWIZ

    Bakwata kwanini mwatufanyia hivi?

    jamani kuna kitu kinaitwa religion tolerance kwanini tugombane wakati sisi sote ni ndugu wa asili kama vipi hebu tafuta wimbo mmoja wa Afande sele ft belle 9 DINI TIMELETEWA utajifunza kitu hamna haja ya sisi kulumbana kila siku
  13. KING DAWIZ

    Tanzania yakumbwa na uhaba wa wanaume zaidi ya milioni moja

    duh sasa mbona inakuwa tishio kwa wanaume tuliopo
Back
Top Bottom