Ndugu zangu, wanajamii wenzangu, naomba kujua ni vipi katiba mpya inaweza kuchangia upatikanaji wa huduma bora kama za afya, elimu , barabara na mambo yanayofanana na haya.
Kwa upeo wangu naona katiba mpya inalenga zaidi mgawanyo wa madaraka, mfumo wa siasa nk.
wakuu kwa wenye utalamu zaidi wa kujua uzuri na ubaya wa hii simu, ikiwezekana na bei yake kwa hapa Tanzania na maduka ntakayoweza kupata kwa urahisi tafadhali.
Lusinde, John Nyika, Mdee, Prof Maghembe, Dr Mwakyembe, Prof Kabudi, Ngelleja, Mabulla, Yule wa IGUNGA, Bullaa 50 50 anaweza kurud au asirudi. wengine apo kwenye list kisiasa ndio mwisho wengine hawatagombea.
ingia web ya mzumbe then utaona tangazo pale . utaona nafasi zote ambazo bado zipo wazi. chuo sio kigumu ila hakitaki mbwembwe na ujuaji mwingi nadhan na umarufu pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.