Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,773
- 3,160
Kama kichwa kinavyosema eneo linauzwa vigwaza barabara ya kwala linakaribia heka 1 bei mil 4 maelewano yapo pia nicheki kwa namba 0718003504
mkuu huko si naskia kuna bandari kavu mkuuKwa bei hiyo vigwaza bado sana!maana mi ni mwenyeji uko na hiyo bei uitajayo kwa vigwaza sio
Vigwaza ni mbele ya Ruvu mkuu morogoro road kupimwa bdo unaeza kupima mwenyewe tu
Kama kichwa kinavyosema eneo linauzwa vigwaza barabara ya kwala linakaribia heka 1 bei mil 4 maelewano yapo pia nicheki kwa namba 0718003504
bandari ipo kwala,kuna eneo linaitwa mperamumbi ndio wanakojenga bandarimkuu huko si naskia kuna bandari kavu mkuu