king Chuga
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 510
- 52
Ndugu zangu, wanajamii wenzangu, naomba kujua ni vipi katiba mpya inaweza kuchangia upatikanaji wa huduma bora kama za afya, elimu , barabara na mambo yanayofanana na haya.
Kwa upeo wangu naona katiba mpya inalenga zaidi mgawanyo wa madaraka, mfumo wa siasa nk.
Kwa upeo wangu naona katiba mpya inalenga zaidi mgawanyo wa madaraka, mfumo wa siasa nk.