Hapo issue ni walimu wachache mno, ingekuwa wanafunzi wengi wanapenda fani ya ualimu walimu wangekuwa wengi na kama ikitokea tatizo kama hili asingekanywa wangem fire
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Naamini kuwa licha ya mazuri mliyopitia lakini pia kuna mabaya aliyowahi kukufanyia. So huu ndo wakati wa kudeal na yale mabaya aliyokutendea usiyafikirie mazuri huta msahau. Na usikurupukie kampani utajikuna una mwingine atakayekuumiza zaidi, na dhamira yako ya kuwa single ikabaki hadithi. Ni...
Dogo ajitahidi kusoma game. Sema kuna wengine migongo yao inaunguza hata umbebe na mbeleko gani. Cha msingi sasa ni a....
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Kutokana na muziki wao sio wa kutingisha nyonga na mazoezi basi wanaridhika tu. Na siku zote taarabu wachezao mashabiki si waimbaji.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Haujapenda ww ukipenda mdomo unafunguka wenyewe. Subiri utapenda na utasema tu. Ukishindwa sana tumia mawe.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Wametuongezea huduma ya ubinafsishaji, ujamaa na iliyotekelezwa barabara ni huduma ya ugumu wa maisha kwa kila mtanzania. Tuiombee miaka ijayo itupunguzie matatizo.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
Katika wanamuziki ninaowakubali wa kibongo ni huyu mtu yaani anjitahidi sana kuulinda mziki wake kuliko viongozi wanavyojali viti vyao. Anaboresha kila siku, bigggggg up to u maaan. Unang'aa kama dhahabu like ur name.
Sent from my BlackBerry 8900 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.