Usiwe na haraka, msome taratibu usimtamkie fasta, jaribu uwe unacheza karibu naye ikitokea chance tu ya japo kupiga naye story jaribu kupiga story unazo hisi anapendelea kwa mfano wanawake wengi wanapenda kusifiwa kwamba wazuri balaa hata kama anajijua ni wa kawaida endelea kufanya hivyo mdogo mdogo then unaweza ukamwambia hata baada ya miezi kadhaa kupita, hii haita mstua maana anafahamu kwamba wewe umechanganyikiwa kwake mda mrefu, hii ni kwa wanawake makini tu, lakini kama ni kimeo kuna aproach kibao ikiwemo kutumia pesa tu