Recent content by kinauche

  1. K

    Mchungaji/Nabii akinunua ndege au gari lake binafsi, Waumini hushangilia na kusema Mungu amejibu maombi

    That is how perceive things. Kanisa Katoliki ni kanisa la Roma na wala siyo kanisa la Kikristo . Ndiyo maana haliamini katika wokovu. Pole sana unayefikiri kuna kanisa la kweli ambalo ni affiliated na Roman Catholic Church.
  2. K

    Waziri wa Sheria na Katiba, Prof. Kabudi akana kauli yake

    Mbona huyu profesa anaongea kwa kutoa macho sana? Anataka kulazimisha watu kumwamini? Maajabu kweli kweli
  3. K

    Waziri wa Sheria na Katiba, Prof. Kabudi akana kauli yake

    Hawa maprofesa ni afadhali Lusinde no school. Shame.
  4. K

    Hivi huyu dada Joyce Kiria ana shida gani?

    Sijui ni kwa nini Kileo alichukua mwanamke aliyekuwa ameachwa na mume. Hayo ndiyo madhara. Hata hivyo huyu mwanamke hana malezi mema kutoka kwa wazazi wake. Utadhani alikulia mitaani. Aibu kwa wazazi wake. Kileo rudisha mke wa mtu kwa mumewe.
  5. K

    Usagaji: Watanzania tumefikia hapa?

    Hivi haya yamefanyikia wapi? Humu nchini?
  6. K

    Usagaji: Watanzania tumefikia hapa?

    They know what they are doing.
  7. K

    Humphrey Polepole aongelea Uchaguzi Mdogo katika Kata 43. Asema ushindi wa kata 42 ni salam ya Tsunami inayokuja 2019/20

    Hivi kuna mtu mwenye akili timamu anaweza kuita huu ni ushindi? Time will tell.
  8. K

    Kailima Ramadhan: Uchaguzi 2015 ulikuwa huru na wa haki, CHADEMA imeshindwa kihalali! Hakuna upendeleo kwa CCM, NEC ni Tume huru

    Kama ilikuwa huru na wa haki ni kwa nini kulikuwa na umwagaji damu? Ni kwa nini mawakala waliondolewa kwenye vituo? Ni kwa nini wafuasi wa Chadema almost kila mahali wameswekwa ndani?
  9. K

    Wanachama wa jinsia moja waandamana Ubalozi wa Tanzania Afrika Kusini kushinikiza serikali kuwaachia wenzao Tanzania

    Hizi ni siku kama zile za Sodoma na Gomora ambapo ulawati was the order of the day. Haya ni machukizo makuvwa mbele za Mungu. Ndiyo maana aliwaangamiza kwa moto.
Back
Top Bottom