Nyankuru Wankuru
JF-Expert Member
- Apr 22, 2018
- 1,199
- 1,346
Unasema Mungu kajibu maombi ya nabii kununua gari au ndege huku ukishangilia kwa vigeregere .
Ndugu zangu, kabla hujashangilia jambo kaa chini ujifikilie kwanza, kwamba mbona kabla ya kuwa nabii au mchungaji alikuwa hana gari au ndege leo katoa wapi hela?
Na wewe mabadiliko yako kiroho na kiuchumi yakoje , kiuchumi ni kwa wale wanaombea watu wawe na kipato bila ya kutoa njia ya kupata kipato hicho
Tofauti na hapo ujue umekamatwa na nabii feki mwenye kujijali
Ndugu zangu, kabla hujashangilia jambo kaa chini ujifikilie kwanza, kwamba mbona kabla ya kuwa nabii au mchungaji alikuwa hana gari au ndege leo katoa wapi hela?
Na wewe mabadiliko yako kiroho na kiuchumi yakoje , kiuchumi ni kwa wale wanaombea watu wawe na kipato bila ya kutoa njia ya kupata kipato hicho
Tofauti na hapo ujue umekamatwa na nabii feki mwenye kujijali