Recent content by Kinau Michael

  1. Kinau Michael

    GE2025 Zuchu aposti ujumbe wa pole kwa Watanzania, aombea amani

    Mungu asimame na Tanzania kipindi hiki 🤲
  2. Kinau Michael

    Nawezaje kuboresha afya ya macho pasi kutumia dawa za hospitali?

    Natumahi mko salama ndugu na rafiki zangu: Naomba kufahamishwa majibu ya jambo ambalo limekuwa likinitatiza kulifahamu kwa kipindi cha muda sasa. Je, naweza kuboresha afya ya macho kwa kutumia vyakula gani bila kutumia dawa za hospitali? maana nimejaribu kutumia Juice ya Karoti lakini sioni...
  3. Kinau Michael

    Je, ni kweli jezi ya timu fulani ikivaliwa sana ni kipimo cha ubora?

    Siku hizi mtaani tunashuhudia watu wakivaa jezi za timu mbalimbali wanazozipenda na wengine huvaa zile zinazowavutia hata kama hawaipendi au kuifahamu klbau yenyewe. Sina hakika kama wengi wanaifahamu klabu ya Palmeiras ya kule Brazili kwa akina Neymar Jr na Ronaldinho Gaucho, lakini Jezi yake...
  4. Kinau Michael

    Marejeo ya Simba na Al Ahly Tripoli dimba la Benjamin Mkapa

    SIMBA alishinda ugenini dhidi ya AS Vita ya Congo bao moja la Penati, amewahi kushinda mechi bao 3-1 (C.D Primeiro de Agosto 1-3 Simba SC Tanzania) so bado anaweza kushinda ugenini pia inategemea na maandalizi aliyofanya pamoja na mbinu anazokwenda nazo katika mchezo husika
  5. Kinau Michael

    Marejeo ya Simba na Al Ahly Tripoli dimba la Benjamin Mkapa

    Je, Simba anaweza kumfunga AA Tripoli kwa Mkapa? Simba SC Tanzania inarejea Lupasa kwa Mkapa ikiwa inahitaji ushindi ili kutinga hatua ya makundi michuao ya Klabu Bingwa Afrika huku wengi wakiwa na matumaini kuwa inaweza ikafanya hivyo bila ubishi kutokana na rekodi yake katika uwanja huo...
  6. Kinau Michael

    Msaada wa Jinsi ya kuanzisha supermarket

    Habari za asubuhi ndugu, Nawiwa kuanzisha biashara ya super market naomba kufahamu kwa wale ambao wamewahi kufanya biashara hii natakiwa kuzingatia nini na nini? Ni vitu gani havipaswi kukosekana kabisa kwenye hiyo super market (Min Market)
  7. Kinau Michael

    Je, ni kwa kiwango gani afya zetu zinahatarishwa na bidhaa za viwandani?

    Kwa mimi nafahamu kila kitu kikizidi ndiyo kinakuwa na madhara, hizo soda, juice, energy drink nk. zikitumiwa kupita kawaida ni lazima italeta madhara kwa afya ya mwanadamu
  8. Kinau Michael

    Viongozi wa Nchi za G20 waridhia Umoja wa Afrika kuwa Mjumbe wa Kudumu wa Jukwaa hilo

    Umoja wa Afrika (AU) umekabidhiwa rasmi kiti cha uanachama wa kudumu ndani ya G20 leo Septemba 09, 2023 kufuatia mwaliko wa Waziri Mkuu wa India Narendra Modi, hatua inayotajwa kama ushindi wa kidiplomasia kwa Modi anayejiandaa na uchaguzi wa kitaifa mwakani
  9. Kinau Michael

    Kujenga na kumiliki nyumba ya kuishi ni muhimu kwa watu wa kipato cha chini?

    Kwa mimi ninavyoona, biashara inahitaji utulivu na maarifa zaidi namna ya kutengeneza faida kupitia hiyo biashara husika sasa utakuta vijana wanawekeza pesa na nguvu kwenye kujenga nyumba zao ili wakiwa huko wapate utulivu kwanza wa akili na mawazo. Ukikaa kwa nyumba za kupanga kuna muda...
Back
Top Bottom