Salam wakuu,
Simu yangu aina ya asus inakataa kuunganisha hotspot, inajibu kuwa internet ni tatizo wakati natumia internet vizuri tu kwa kublowse.
Asanteni
Yamenikuta pia,kwanza kupata hizo fomu nlizunguka benki 3 ndo zikapatikana, maelezo ya PSPF na benki yanatofautiana hapo nlichoka.....
Nshachuka mkopo benki nawavutia kasi tu lazima nikawape ukweli wao
Habari wakuu!
Ninapotaka kuingiza progam yeyote inanitaka niende Katika store nitafute na kuinstall kutoka huko.
Je! Kuna namna ya kufanya ili niinstlall bila kupitia market store?
Asante
Wadau naamini mu wazina na poleni kwa uchovu wa shamrashamra za sikukuu ya wafanyakazi.
Huwa nashindwa kuelewa pale ninapoona siku hiyo wafanyakazi wanavyokuwa na furaha katika maandamano lakini muda wa risala na hotuba mbalimbali ghafla furaha ukatika na kuanza manung'uniko ooh serikali hiki...
Habari wakuu!
Nimekuwa na tatizo la kusisimka mwili mpaka kufikia kupandwa na hasira za ghafla pindi nionanapo vitundu vidogovidogo. Vitundu hivyo vyaweza kuwa katika picha, rangi katika wadudu au kitu chochote. Kuna baadhi ya picha ninapoziona siku yangu inaharibika kabisa.
Hili ni tatizo gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.