Recent content by Kimungu Rashid

  1. K

    Jerusalem kwa mujibu wa BBC

    Labda niongezee ni kwanini WAISLAM WANAFUNGAMANA juu ya JERUSALEM itambulike kuwa ni ya PALESTINE ni sio ISRAEL na manufaa yetu juu ya JERUSALEM..... 1)kwanza kwenye dalili 9 za NABII MUSSA za kipindi cha MWISHO aliiweka na JERUSALEM itakuja kutambulika kuwa mji wa ISRAEL kitu ambacho hata...
  2. K

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    Hofu ninayo kubwa juu yako .....tunakuomba utupe ripoti juu ya hiyo ishu.........inawezekana wwe n malaika ila hatujui and if not, I guess you have mental illness
  3. K

    Wakati nchi ikijiandaa katika Vita ya kiuchumi na ACACIA, Mfahamu vizuri Peter Munk

    Tumesema tunatakiwa kushikama kama taifa na sio kumtafuta mchawi nani.......(LOWASSA ALIKUWEPO,SUMMAYE ALIKUWEPO EITHER, why you didn't mentioned them there?)......wakati jambo hili likifumuliwa na JPM, Dr kafumu alielezewa vizuri na watu wa ukawa tena kwa kutumia UKUBWA WA ELIMU YAKE.....sasa...
  4. K

    Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

    Mimi nafikiri bado hujaelewa nini nimemaanisha......ni kweli CCM ndio tatizo ya hapa tulipo,lakini upande wa pili haupo serious na zile weakness za CCM...Leo hii tumekuwa tukishuhudia matatizo yeyote Yale yanapotaka kutatuliwa na RAIS basi upande wa pili hutumia kigezo cha kua CCM ndio ilikuwa...
  5. K

    Madhara ya kusomea British Common Law, yaonekana!

    Kwa upande wangu huu haukuwa wakati wa kuongelea itikadi za kisiasa instead tulitakiwa tujadili ni namna gani tutaweza kushinda hiii game.......na hapo ndipo tulipoona mapungufu ya TL kwa sababu ameendeleza siasa,lawama juu ya wana CCM na muda huo huo akasahau kuwa wakifukuzwa CCM wanakuwa...
  6. K

    Tundu Lissu amewasilisha Mpango wa Kujenga jengo la TLS kwa Tsh. 3 bill wakati CHADEMA haijajenga

    Maslahi gani unayo yapata kupitia chadema......you should to be smart enough to think before you talk
  7. K

    Smartphone

    IPO simu inaitwa FERO J1......iangalie google then uniambie kama umeipenda
  8. K

    Niulize swali lolote kuhusu Geology na field zote zinazohusuhiana na Jiolojia

    Sio tu upimaji na ukusanyaji wa data wa juu ya ardhi bali hata underground measurements
Back
Top Bottom