Kuna mtume mwongo aliwadanganya waumini wake kuwa alisafiri usiku hadi Jerusalem!! Huyu ndie alieenza chuki ya ya kipuuzi kabisa kwa kutunga uongo!
Umesahau,yupo nabii mmoja, mzungu,mrumi,alikuwa mpinzani wa Yesu alipokuwa hai. Alipoondoka akajitia kumuamini. Lakini akayabadili mafunzo yote ya Yesu. Akawaletea dini mpya. Kinyume na dini aliyoifundisha Yesu. Nabii huyu mzungu,ni nabii wa uongo na mafundisho yake ni ya uongo.
Ndie aliewaletea dini hii ya uongo. Wanaojiona watakatifu huku wakiwa waovu kupita hata shetani.
Hawaheshimu imani za wengine. Wanawatukana na kuwakashfu wengine huku wakihubiri kwamba wao ni wema na watakatifu. Wanasahau kwamba tunaishi nao hapa duniani na tunawajua kutokana na matendo yao. Ni watakatifu midomoni,mioyoni wamejaa chuki na uovu.
Nabii aliewafundisha uovu huu ni mnafiki na akawajaza unafiki.
Nabii wa uongo.
Amewajaza roho ya mauaji. Kiasi mmekuwa washangiliaji wa kila mauaji yanyofanywa na waizraeli na mataifa ya kikristo. Kwani wanaouwawa kwenu si binadamu.
Hakuna sehemu yeyote duniani kunatokea mauaji kusiwe na mkono wa watakatifu wenu.
Mnaanzisha vikundi vya kigaidi. Mnawatumia wafuasi wenu na kuwapa majina na muonekano wa dini nyingine ili mpate kuwatuka na kuwaua mpate furaha. Kwani umwagikaji wa damu kwenu ni furaha na ibada kuu.
Huyu ndio nabii wa uongo.
Akawaletea ushoga. Kwani yeye mwenyewe alikuwa mpenzi wa mchezo huo. Mkawa mnawatukana watu wa dini zingine kuwa ni wapenzi wa ushoga,huku mkijificha uhakika wenu.
Mkawaharibu watoto wa kiume wahudumu kwenye nyumba zenu za ibada,kiasi kwamba kila kona ya dunia inashuhudia kesi na malalamiko ya udhalilishaji huo.
Mungu akawaumbua zaidi baada ya kuanza kuoana na kuhalalisha ndoa hizo za kishetani ndani ya nyumba zenu za ibada. Na mataifa makubwa ya imani zenu wakaweka sharti kuwasaidia nchi maskini,lazima wakubaliane na ushetani huu.
Huyu ndio nabii muongo. Na si huyo uliemtaja