Kinachonishangaza kwa hiki chama ni kwamba hata sikukuu ya wafanyakazi walim wanauziwa T-shirt, vitenge na kofia za kwende kwenye sherehe badala ya kupewa bure kama vyama vingine vinavyofanya, pia hawapewi hata nauli wala lunch siku hiyo, yaani ni shida tu.
Hivi hizi story ni za kweli au watu wanatunga tuu, maana inakuaje mtu anadondoka mjini na asifamike hata akiwekwa kwenye vyombo vya habari bado hamna mtu anayejitokeza na kusema anamfahamu.
Au hao sio watu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.