JWTZ maafisa wenu Tanga wanatia aibu

JWTZ maafisa wenu Tanga wanatia aibu

Nyombesi

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
53
Reaction score
5
Binafsi natambua kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), katika kuhakikisha mipaka yetu inalidwa na hakuna adui anayetunyemelea.
Lakini kunabaadhi ya maafisa wa vyeo vya juu jeshini waliopo kozi katika kambi ya Kange-Tanga wamekuwa wakifanya vitendo vya aibu ambavyo havifai kufanywa na maafisa hao wenye dhamana kubwa jeshini.
Baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitembea na dada zetu (kimapenzi ) hapa Tanga, bila woga wala kujali, japo wanahaki zao za msigi kufanya hivyo lakini uchafu huo haufai kufumbiwa macho hata kidogo kwani wameuvamia mji kwa mahusiano hayo ya kimapenzi huku wakisababisha mahusiano walioyokuwa nayo kwa weza wao kuvunjika kwa ajili yao.
Wakati maafisa hao wakifanya hayo ninaimani wameacha familia mke na watoto huko walikoto. JWTZ ifanye uchunguzi juu ya hili watabaini, kwani linashusha heshima kwa jeshi letu pendwa kwa tabia zinazofanywa na watu wachache bila kujali dhamana waliyopewa na Taifa hili la ulinzi.
 
Kufanya mapenzi haina cha mwanajeshi bana.
waendelee hivyo hivyo
 
Wee vipi!! Dada/wapenzi wenu kama wana ashki majinuun halafu mnashindwa kuwatuliza wafanyeje?! Ingekuwa wanawabaka hapo ungekuwa na point, otherwise mkuu kaa kimya na vumilia kwa kuchapiwa!
 
Unataka kutuambia hao dada zenu mtawala nyie wenyewe?
Tangu lini mlisikia K (fixed asset! As known as property or tangible asset) ikiliwa inaisha?
 
Makamanda wanapunguza uzito ha ha ha

By the way,sioni kosa lao as long as hawambaki mtu na hao dada zenu ni watu wazima kisheria( above 18 yrs)
 
Binafsi natambua kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), katika kuhakikisha mipaka yetu inalidwa na hakuna adui anayetunyemelea.
Lakini kunabaadhi ya maafisa wa vyeo vya juu jeshini waliopo kozi katika kambi ya Kange-Tanga wamekuwa wakifanya vitendo vya aibu ambavyo havifai kufanywa na maafisa hao wenye dhamana kubwa jeshini.
Baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitembea na dada zetu (kimapenzi ) hapa Tanga, bila woga wala kujali, japo wanahaki zao za msigi kufanya hivyo lakini uchafu huo haufai kufumbiwa macho hata kidogo kwani wameuvamia mji kwa mahusiano hayo ya kimapenzi huku wakisababisha mahusiano walioyokuwa nayo kwa weza wao kuvunjika kwa ajili yao.
Wakati maafisa hao wakifanya hayo ninaimani wameacha familia mke na watoto huko walikoto. JWTZ ifanye uchunguzi juu ya hili watabaini, kwani linashusha heshima kwa jeshi letu pendwa kwa tabia zinazofanywa na watu wachache bila kujali dhamana waliyopewa na Taifa hili la ulinzi.

Acha kulalama ...wewe...kama hunapesa...huna haki ya kupenda.....au kupendwa......
 
kufanya mapenzi haina cha mwanajeshi wala nani lakini heshima lazima ichukue mkondo wake, hata kama hawabaki watambue jamii inayowazunguka inawatizama.......watafute basi wakwao waache kuingilia mapenzi waliyoyakuta
 
[unaonekana una wivu na dadazako,huo ndio ulijali wa askari wetu, big up wapiganajiQUOTE=Nyombesi;11297378]Binafsi natambua kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), katika kuhakikisha mipaka yetu inalidwa na hakuna adui anayetunyemelea.
Lakini kunabaadhi ya maafisa wa vyeo vya juu jeshini waliopo kozi katika kambi ya Kange-Tanga wamekuwa wakifanya vitendo vya aibu ambavyo havifai kufanywa na maafisa hao wenye dhamana kubwa jeshini.
Baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitembea na dada zetu (kimapenzi ) hapa Tanga, bila woga wala kujali, japo wanahaki zao za msigi kufanya hivyo lakini uchafu huo haufai kufumbiwa macho hata kidogo kwani wameuvamia mji kwa mahusiano hayo ya kimapenzi huku wakisababisha mahusiano walioyokuwa nayo kwa weza wao kuvunjika kwa ajili yao.
Wakati maafisa hao wakifanya hayo ninaimani wameacha familia mke na watoto huko walikoto. JWTZ ifanye uchunguzi juu ya hili watabaini, kwani linashusha heshima kwa jeshi letu pendwa kwa tabia zinazofanywa na watu wachache bila kujali dhamana waliyopewa na Taifa hili la ulinzi.[/QUOTE]
 
Unazijua familia za hao maafisa au unahis....then hakuna kifungu cha kijeshi kinachocontrol mahusiano ya kimapenz kwa maafisa wake
 
mbona mim sina familia aise afu wewe kijana wewe upo tanga sehemu.gani.nije nkutembelee
 
Binafsi natambua kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), katika kuhakikisha mipaka yetu inalidwa na hakuna adui anayetunyemelea.
Lakini kunabaadhi ya maafisa wa vyeo vya juu jeshini waliopo kozi katika kambi ya Kange-Tanga wamekuwa wakifanya vitendo vya aibu ambavyo havifai kufanywa na maafisa hao wenye dhamana kubwa jeshini.
Baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitembea na dada zetu (kimapenzi ) hapa Tanga, bila woga wala kujali, japo wanahaki zao za msigi kufanya hivyo lakini uchafu huo haufai kufumbiwa macho hata kidogo kwani wameuvamia mji kwa mahusiano hayo ya kimapenzi huku wakisababisha mahusiano walioyokuwa nayo kwa weza wao kuvunjika kwa ajili yao.
Wakati maafisa hao wakifanya hayo ninaimani wameacha familia mke na watoto huko walikoto. JWTZ ifanye uchunguzi juu ya hili watabaini, kwani linashusha heshima kwa jeshi letu pendwa kwa tabia zinazofanywa na watu wachache bila kujali dhamana waliyopewa na Taifa hili la ulinzi.

Watakua wamekugongea aisee! maana unauchungu sana, lakini pole sana.
 
Binafsi natambua kazi kubwa inayofanywa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), katika kuhakikisha mipaka yetu inalidwa na hakuna adui anayetunyemelea.
Lakini kunabaadhi ya maafisa wa vyeo vya juu jeshini waliopo kozi katika kambi ya Kange-Tanga wamekuwa wakifanya vitendo vya aibu ambavyo havifai kufanywa na maafisa hao wenye dhamana kubwa jeshini.
Baadhi ya maafisa hao wamekuwa wakitembea na dada zetu (kimapenzi ) hapa Tanga, bila woga wala kujali, japo wanahaki zao za msigi kufanya hivyo lakini uchafu huo haufai kufumbiwa macho hata kidogo kwani wameuvamia mji kwa mahusiano hayo ya kimapenzi huku wakisababisha mahusiano walioyokuwa nayo kwa weza wao kuvunjika kwa ajili yao.
Wakati maafisa hao wakifanya hayo ninaimani wameacha familia mke na watoto huko walikoto. JWTZ ifanye uchunguzi juu ya hili watabaini, kwani linashusha heshima kwa jeshi letu pendwa kwa tabia zinazofanywa na watu wachache bila kujali dhamana waliyopewa na Taifa hili la ulinzi.

pole sana kaka naona umeporwa demu wako asiye mwaminifu
 
Back
Top Bottom