Wewe unasema wataalamu wamemtaja Baba Mzazi. Halafu tena unakuja kwetu kukusaidie kupata wataalamu wengine!Mkuu unazingua. Na mimi nikisem ni mtaalamu na nimegundua muuaji ni wewe ntakuwa nasema urongo?
Wanalinda vyeo vyao. Hata huyo Mkurugenzi mpya sijui Mayombo sijui nani analinda cheo chake. Walimu wakishapata madaraka makubwa wanakuwa wanoko na wabinafsi. Kazi kulazimisha visivyowezekana na kutishia wengine tu ili waonekane wamefanikiwa na kuendelea kufaidi mishahara yao minono na maposho...
Kuna jirani yangu ni mjinga mjinga hatuelewani sana. Leo nimeota ametuma majambazi wamekuja kuchukua mkweche huu. Nilivyostuka nikakuta ni ndoto tu nimeshukuru sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.