Single Mother wamekukosea nini? Mbona topic hii haina uhusiano na chuki yako?Kuna wanawake single mother wengi mtaani wamevurugwa
Nusu vichaa nusu wazima
Kuna vijana humu wanatamani kuzaliwa wanawake kwahiyo muwazoee, na wengine wanatamani kuwa single mother tatizo uwasilishaji wa hoja zao wanazunguka sana.Umejuaje ni single mother
Nmejikuta nacheka kama najua ulichotaka kukifanya. Sema nini huo ndo uanaume wenyewe maana angekuona wewe kama hawa wenzetu wanaotaka kupelekewa moto kama usingejaribu kurusha hata jiwe tuLeo kipindi natoka zangu Church nimekutana na dada mmoja njiani alikuwa hajui wapi ameweka simu yake akaniomba simu ili ajipigiye.
Nikampa kwa amani kabisa kwa bahati nzuri akapiga simu yake ikaita na akajua wapi ndo alikuwa ameweka simu maana alifikiri labda vijana wameshafanya yao basi tukaachana mimi nikaondoka zangu.
Kufika hii jioni amenitumia sms ya kunitukana bila kosa
Dunia ina maajabu yake
Usiseme bila kosa..Kufika hii jioni amenitumia sms ya kunitukana bila kosa
Huyo mama aliyemtukana bila kosa ni single mazaSingle Mother wamekukosea nini? Mbona topic hii haina uhusiano na chuki yako?
Mkuu kwani sisi Wasabato tumekukosea nini ndugu yangu?Sema tu ukweli ya kwamba ulimtongoza kakutolea nje,, alishakuona wewe sio mlamba asali na inawezekana pia ulivaa kisabato!!
Siyo sawa, show some respect.Huyo mama aliyemtukana bila kosa ni single maza
Kwani mkuu wasabato hua mnavaaje??au nyie hamvaagi??na kosa langu nini hapo???Mkuu kwani sisi Wasabato tumekukosea nini ndugu yangu?