Recent content by kimpembah

  1. K

    Kwanini vijana wa PCM pekee ndio hupiga one za tatu Tanzania?

    kuna mwamba hapo kisimiri kagonga one nzuri ya tatu hkl
  2. K

    Ukweli mchungu kuhusu kilichotokea tuzo za BET

    diamond kwa mwaka jana alifanya poa mpaka kufikia kuwa nominated ni kazi nzuri aluzifanya
  3. K

    Powerful encryption, every hacker, pentestER, researchers must know (bypass all antivirus)

    mkuu je md6 nayo vipi kwenye security upande wa hashing?
  4. K

    Jezi mpya za timu mbalimbali kwa msimu ujao 2021/2022

    jezi ya nyumbani jordan angalia jezi ya psg ya nyumbani, pia ndio walioleta idea ya bukta kufanana na jezi
  5. K

    Jezi mpya za timu mbalimbali kwa msimu ujao 2021/2022

    h hii away kit ya chelsea ni moto jaman
  6. K

    Jezi mpya za timu mbalimbali kwa msimu ujao 2021/2022

    mbona psg jezi zao zinatengenezwa na brand mbili tofauti
  7. K

    Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

    suala la harmony kuwa ni android based linajulikana, kusema kuwa wemetengeneza from scratch ni kwa sabau ya kutumia lite os hiyo wameitengeneza from the scratch na walikuwa wanaitengeneza kwa ajili ya iot
  8. K

    Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

    nimesoma na sijapinga, labda baadhi ya watu walikuwa hawajui ila harmony os kuwa based na android toka mwaka 2019 ilikuwa inajulikana ni android based ila wao wameiboresha zaidi kwenye IOT pile lite os ilitengenezwa mahusui kwa ajili ya micro devices na vitu vingine upande wa iot hivyo ban ya...
  9. K

    Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

    according to wikipedia harmony os kwa ajili ya simu na tablet imezinduliwa mwaka huu 2019, harmony os ilikuwepo lakini kwa vifaa vingine lakin pia kumbuka huawei walikuwa walishatengeneza operating system yao ya lite os, nakuweka sawa harmony os iko based na operating system ya lite os ambayo...
  10. K

    Huawei kuzindua mfumo wake wa uendeshaji simu janja mbadala wa Android

    kumbuka huawei walikuwa na operating system yao ya LITEOS ambayo waliitengeneza toka 2015, harmony os iko based na lite os kulikuwa hakuna simu iliyokuwa inatumia harmony os
Back
Top Bottom