Recent content by kimnyenger

  1. kimnyenger

    Nahitaji msaada wa haraka, hasira zitaniumbua mimi

    Hiyo ndio Dawa. Hata wenzetu wathungu huwa wanatumiaga[emoji28][emoji28]
  2. kimnyenger

    Mtoto wa mfalme wa Thailand sio bure

    [emoji28][emoji28][emoji28] taabu hasa
  3. kimnyenger

    Ushauri: Amepewa mimba na baba yake mdogo

    Hiyo story nimeiona toa fb hadi huku? Duh.
  4. kimnyenger

    Chris Brown huenda akafukuzwa kenya kama Koffi Olomide, aivunja simu ya shabiki

    Ni uzushi tu mbona nimeoja video yake hadi mwisho alivyo. Pia basi hata kama we mtu anaingia tu. Demu anajitokeza bila utaratibu anataka selfie!!! Bint ndio wakushtakiwa [emoji28][emoji28][emoji28]
  5. kimnyenger

    JamiiForums imeniokoa na Kifo

    Hata wangelala sanjari hamu itoke wapi
  6. kimnyenger

    JamiiForums imeniokoa na Kifo

    Mchukulie hatua vinginevyo ataona umemuogopa. Pia ingekuwa safe kwako kutoa taarifa ili usjedhurika. Na pia ajue taarifa ziko police.
  7. kimnyenger

    Cosmas Makongo wa ITV aswekwa rumande kwa kuripoti Njaa Wilayani Kyerwa!

    Mtu eti unaumwa hadi ya kufa alafu unasema niko fit kabisa
  8. kimnyenger

    Mimi ni Mwalimu, nisome nilivyo

    Si kilamtu amechagua alichopenda jamaniii. Sasa lawama za nini. Kila kazi inasheria zake hakuna kazi isiyokuwa na sheria Duniani.
Back
Top Bottom