Hata mm nimeliona hilo hapo ndipo tunapoona chama tawala kimekosa hoja na kuanza kutumia vyombo vya habari kama star TV kuandaa propaganda za kishenzi.
Mkuu tokea nimeanza kusoma comments zako suala LA ukabila na udini unavipa kipaumbele sana. Plz try to change hii ni Tanzania yetu sote hvyo vitu weka pembeni jibu hoja.
Kwel NEC na ccm Yao wanaelekea kubaya sasa sioni dhambi/kosa wanalofanya chadema kuhamasisha watu si washukuru wamesaidiwa majukumu. Mbona wao NEC hatuoni wakihamasisha wananchi ndo waseme chadema inawaingilia katika majukumu Yao.
CCM ni dudu kubwa la kutisha ambalo bila umoja wetu hatuwezi kuliuwa na tukiacha mtu mmoja mmoja anapigana nalo anaweza kujeruhiwa au hata kuliwa na DUDU ccm.
We kweli hamnazo kwanza inaelekea hujawahi kupiga kura na wala sheria za uchaguzi huzijui that y unakuja kuandika utumbo wako hapa wa misukule ya Lumumba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.