Kwa hakika mkuu! Itazame nchi ya Marekani, Uchaguzi wao ni wa 2017, Vyama vikuu vyote vimeshaweka wagombea wao wazi. Na mimi nataka kuamini Inawezekana CCM wanategea kujua kua upinzani watammeka nani awe mgombea.Kama ni hivyo basi wamekwisha.
Safari wagombea wa CCM hakuna kukimbia midahalo. Kuanzia udiwani jadi urais.
Hapa CCM wanatafuta namna ya kuchomoka. Wanatamani kura ya maoni ya katiba izibe uchaguzi mkuu, lakini sasa kura ya maoni haipo ki-katiba wakati katiba inaelekeza wazi kuwa uchaguzi mkuu ni October. Wanatamani kura ya maoni ivuruge utaratibuwa uchaguzi hasa kutumia kipindi cha mpito endapo kura ya maoni itakuwepo na katiba kupitishwa. Ni yamoto kumeza na tamu kutema!
Mkakati umeshaandaliwa wa kutompitisha Membe na Lowasa kugombea uraisi anguko liko pale pale.
Anyway,Mwenyekiti aliwatahadharisha wana ccm kuwa wajiandae kisaikolojia.
Naami wamelifanyia kazi agizo la Mwenyekiti,mda ndio huo umefika.
Magamba yanaruka na kukanyagana mwaka huu Chama Cha Mafisi wanalo kila sehemu everything is tight.
JK ni kama Gorbachev... Nchi inafair mkononi
Perestroka ndio ccm siyo?JK ni kama Gorbachev... Nchi inafair mkononi