Nimesoma sehemu kuwa bio-neural chip itajayotumia seli za ubongo wa binadamu ipo kwenye maharibio ya mwisho
Ufanisi wake unatarajiwa kuwa mkubwa sana kuliko huu wa chip zinazotumika sasa
Na pia hiyo Elimu ya Vyuo vikuu sio suluhu ya mayatizo ya jamii.
Mhitimu wa Std VII miaka ya 80 alikuwa ujuzi na msaada kwake na jamii kuliko mhitimu wa chuo kikuu wa leo
Huku Wachina na Wazungu wakipewa ruzuku kibao kufanikisha miradi ya kilimo, uchimbaji, n.k. ktk inji hii.
Kuna mambo yanahitaji akili ya Uchumi kuyaelewa
Huko Makete jamaa wanaamka asubuhi kujiokotea ndege pori; yaani ndege wanapigwa na barsfu wanazima mpaka jua liwake.
Kila sebule Kuna chupa ya chsi ya moto, inanywewa muda wote.
Hatari sana!
Matengenezo yafanywe usiku!
Ni kutojali maisha ya watu kunapelekea maboresho kama kubadili nguzo, transfoma, n.k kupelekea ukosefu wa umeme siku kadhaa.
MATENGENEZO YOTE YASIYO YA DHARURA YAFANYWE USIKU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.