Recent content by Kimbori

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Ni ujima kumtukuza mtu badala ya mfumo. Ikiwa mfumo unapumulia mashine, je kauli ya kiongozi yafaa nini?
  2. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    1. Hilo swali ni refu, na kwenye maswali mengi kama zile NECTA za miaka ile! Ukiongalia hiyo video kwa umakini, na kuyaangalia mazingira yake, kwa Tz na Urusi ni kwamba Tanzania haina mbia wa kufanya nae biashara. Sidhani kama kuna taifa linaloeleweka kibiashara lisilo na vikwazo vya US. 2...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Peter Msigwa: Baada ya mauaji ya Oktoba 29 na ukiukwaji wa haki unaoendelea, siwezi tena kubaki CCM, nimeamua kurejea CHADEMA

    Ingekuwa vipi kama mauaji ule umwagikaji damu ungekupatia cheo?
  4. K

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira: Walioanza harakati za Urais 2030 wamezungumza na Mungu kwamba watakuwepo?

    Chama chake kunajitanabaisha kutawaka milele, je kimezungumza na Mungu?
  5. K

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Inadaiwa Ayatollah mpya ameuawa katika shambulio la anga!

    Watu wa humu bhana! Yaani hata mchakato wa kumpata haujafika mwisho, tunadanganywa ameuawa. Hii ni zaidi ya fake news
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

    Bongo movie, hasa za akina Mkojanip
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Hafla nyingi huwa na mtu wa itifaki wa serikali, sitaki kuamini mambo yamebadilika ghafla baada ya October 29
  8. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Kwani hakukuwa na mtu wa kuongoza itifaki za serikali tofauti na kanisa?
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!

    Hiyo ni michango inayoweza kuaminiwa navwatoto wachanga. Ikifika 2929, 2030 hixo kauliv hazisikiki. Ogopa sana mtu anayekukata, akijua ataomba msamaha ili hali anmeficha panga na tupa
  10. K

    JamiiForums Tanzania Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    Haya makitu yabaweza kuwa kweli, kuna mdingi sheikh huko Ngara najulishwa amepofuka macho baada ya kuzabuliwa na majini
  11. K

    JamiiForums Tanzania Yeriko Nyerere nadi sera za CHAUMMA achana CHADEMA

    Na James Mbowe anajipima ubavu kwa Heche. LYatonga alizeeka vibaya, atafuata bodi wao. Miaka kadhaa nyuma miongoni mwa makada wa CHADEMA aliwahi sema Mbowe atakuja kukisaliti chama - double agent, hakueleweka. Muda methibitisha
  12. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania African Satellite World and Sat Gear

    Naomba msaada namna ya kuipata (muuzaji)
  13. K

    JamiiForums Tanzania Kuna watu wananunua hela za omba omba mtaani elfu 10 kwa elfu 20

    Nimewqhi ambiwa hata wale wanaoomba nguo kwenye nyumba za watu kuna namna wanakwenda kuzifanyia.
Back
Top Bottom