Recent content by Kimbori

  1. K

    Stephen Wasira: Walioanza harakati za Urais 2030 wamezungumza na Mungu kwamba watakuwepo?

    Chama chake kunajitanabaisha kutawaka milele, je kimezungumza na Mungu?
  2. K

    Tetesi: Inadaiwa Ayatollah mpya ameuawa katika shambulio la anga!

    Watu wa humu bhana! Yaani hata mchakato wa kumpata haujafika mwisho, tunadanganywa ameuawa. Hii ni zaidi ya fake news
  3. K

    Ni tabia gani inakukera ukikutana nayo unapotumia usafiri wa basi?

    Bongo movie, hasa za akina Mkojanip
  4. K

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Hafla nyingi huwa na mtu wa itifaki wa serikali, sitaki kuamini mambo yamebadilika ghafla baada ya October 29
  5. K

    Kwa nini apewe nafasi kwenda kuaga mwili wa marehemu Kadinali Pengo wakati alishatamka watu wa TEC wanamchukia na yeye ana kinyongo?

    Kwani hakukuwa na mtu wa kuongoza itifaki za serikali tofauti na kanisa?
  6. K

    Nape: Vyombo vya Dola visipojali UTU, CCM itang'oka!

    Hiyo ni michango inayoweza kuaminiwa navwatoto wachanga. Ikifika 2929, 2030 hixo kauliv hazisikiki. Ogopa sana mtu anayekukata, akijua ataomba msamaha ili hali anmeficha panga na tupa
  7. K

    Sitasahau huyu mzee alivyopinda mdomo kwa kufuga jini

    Haya makitu yabaweza kuwa kweli, kuna mdingi sheikh huko Ngara najulishwa amepofuka macho baada ya kuzabuliwa na majini
  8. K

    Yeriko Nyerere nadi sera za CHAUMMA achana CHADEMA

    Na James Mbowe anajipima ubavu kwa Heche. LYatonga alizeeka vibaya, atafuata bodi wao. Miaka kadhaa nyuma miongoni mwa makada wa CHADEMA aliwahi sema Mbowe atakuja kukisaliti chama - double agent, hakueleweka. Muda methibitisha
  9. K

    African Satellite World and Sat Gear

    Naomba msaada namna ya kuipata (muuzaji)
  10. K

    Kuna watu wananunua hela za omba omba mtaani elfu 10 kwa elfu 20

    Nimewqhi ambiwa hata wale wanaoomba nguo kwenye nyumba za watu kuna namna wanakwenda kuzifanyia.
  11. K

    African Satellite World and Sat Gear

    Thanks! Uliinunua wapi (mawasiliano kama inawezekana)? Bei gani?
  12. K

    Nimedhalilika ...

    Mwenzako anaogopa kuwa single, kukosa uhakika wa huduma, kudharauliwa na wanawake wenzake, n.k Kushauri masuala ya ndio inahitaji kipaji toka kwa roho mtakatifu
  13. K

    Hawa wakiacha kuhonga ni matajiri, pesa zipo tatizo sketi

    Wewe upo kundi gani? Au ni tajiri?
Back
Top Bottom