Ukwell mchungu ni kuwa WALE WALIOMKOSA LISU 2917 KWA KUMMININIA MARISASI, HAO HAO NDIO WAMEKUJA KIVINGINE KISHERIA 2025.
Hao akina Katuga, Ndunguru, .... wapi hapo kwa mujibu wa taratibu.
Lisu alishambuliwa 2017 kutokana na harakati/kusemea rasilimali, hivyo hivyo na kutiwa kwake nguvuni mwaka...
Ajue tu matisho na mauaji ya wanaotofautiana nao hayajawahi kuwa sukuhu ya muda mrefu.
Jumbe n k walitendewa miaka hiyo, na miaka ya sasa uhuru umepatikana
Ili wapate kuhuthibitishia mahakama na umma kuhusu tuhuma za uhaini.
Tena hao watu wa usalama DGIS, IGP na CDF ndio wanasubiriwa wauanike uhaini vyema.
Jaji aliposema viongozi hawana ushahidi muhimu ni kwa kuwa wao hulindwa tu dhidi ya 'uhaini', wanaojua viashiria vya uhaini ni hao walinzi...
Ulichoandika kilionekana siku ya kwanza ya usikikizwaji wa kesi.
Kama ilitolewa amri ya kuua holela, Polepole n.k walizimwa, Nchimbi akatimuliwa, ......
Je ni ubatili gani tena zaidi unaotarajiwa?
Itafika Rufaa ili watu waenselee kuishi kwa 'amani'.
Kumbuka: Dhuluma haijawahi kuacha mtu/jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.