Recent content by Kimbori

  1. K

    JamiiForums Tanzania Uvumbuzi wa ovyo kuwahi kufanywa duniani

    Nimesoma sehemu kuwa bio-neural chip itajayotumia seli za ubongo wa binadamu ipo kwenye maharibio ya mwisho Ufanisi wake unatarajiwa kuwa mkubwa sana kuliko huu wa chip zinazotumika sasa
  2. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Hivi zile hehaheka za jumuiya sijui gani, Kombo kwenda kuwashtaki TEC kwa papa, n.k zikiishia wapi?
  3. K

    JamiiForums Tanzania Je, ni sahihi kuweka biashara msibani?

    Kwa Mbeya ni sahihi kabisa! Watu wananunua kitimoto, ndizi rosti, maji n.k Nadhani inategemea hasa na jamii husika
  4. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali ya Kenya yapendekeza kufuta mfumo wa ufadhili wa masomo ya Vyuo Vikuu, wanafunzi wote

    Na pia hiyo Elimu ya Vyuo vikuu sio suluhu ya mayatizo ya jamii. Mhitimu wa Std VII miaka ya 80 alikuwa ujuzi na msaada kwake na jamii kuliko mhitimu wa chuo kikuu wa leo
  5. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Hii ishu itapigiwa upatu humu jukwaani na wale wanufaika. Wanufaika wamepata chapisho jipya la propaganda, la kusogezea siku
  6. K

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Zunguka njia ndefu ili kuwalaghai Commonwealth, wazungu. Dhulma haitomwacha yeyote salama!
  7. K

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa muda (Part-Timer) – Chuo cha UDOM, mwezi wa 5 sasa tunasotea malipo yetu

    Duh! Nimetafakari. Ndio maana Trump anasakama hizi ...le countries
  8. K

    JamiiForums Tanzania kitendo cha polisi watupa mzigo wa chakula Cha raia kwenye mtaro wa maji machafu sio cha kiungwana.

    Huyo kijana ashukuru hakuwekwa ndani mpaka mwenge utoke halmashauri hiyo.
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya ngozi 'Ku glow'?

    Huko Daslsam kwenu kuna hekaheka asee ... Mara ngozi kuwekewa filler, kuglow, n.k. Yote ni kusetiwa kuwa wateja wa watu
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mawazo yangu kuhusu siasa za 2030

    Ni mwana wa mtandao?
  11. K

    JamiiForums Tanzania South Africa balaa kwa wachumba

    Kwa akili hizi kama hujafurumushwa jifurumushe mwenyewe
  12. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Wachimbaji madini mnataka Ruzuku wakati Harusi mnazifanya na Helikopta?

    Huku Wachina na Wazungu wakipewa ruzuku kibao kufanikisha miradi ya kilimo, uchimbaji, n.k. ktk inji hii. Kuna mambo yanahitaji akili ya Uchumi kuyaelewa
  13. K

    JamiiForums Tanzania Maeneo matatu yenye baridi zaidi Tanzania with facts

    Huko Makete jamaa wanaamka asubuhi kujiokotea ndege pori; yaani ndege wanapigwa na barsfu wanazima mpaka jua liwake. Kila sebule Kuna chupa ya chsi ya moto, inanywewa muda wote. Hatari sana!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Tanesco mnatuhujumu wakazi wa Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla

    Matengenezo yafanywe usiku! Ni kutojali maisha ya watu kunapelekea maboresho kama kubadili nguzo, transfoma, n.k kupelekea ukosefu wa umeme siku kadhaa. MATENGENEZO YOTE YASIYO YA DHARURA YAFANYWE USIKU!
Back
Top Bottom