Recent content by Kimbori

  1. K

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Ukwell mchungu ni kuwa WALE WALIOMKOSA LISU 2917 KWA KUMMININIA MARISASI, HAO HAO NDIO WAMEKUJA KIVINGINE KISHERIA 2025. Hao akina Katuga, Ndunguru, .... wapi hapo kwa mujibu wa taratibu. Lisu alishambuliwa 2017 kutokana na harakati/kusemea rasilimali, hivyo hivyo na kutiwa kwake nguvuni mwaka...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: Sijui Nchimbi yuko wapi lakini naamini yupo

    Ajue tu matisho na mauaji ya wanaotofautiana nao hayajawahi kuwa sukuhu ya muda mrefu. Jumbe n k walitendewa miaka hiyo, na miaka ya sasa uhuru umepatikana
  3. K

    JamiiForums Tanzania Baada ya CDF IGP DCI Kuwasilisha ushahidi wao mahakamani Tundu Lisu akate rufaa ya kuomba PM VP na Mh Rais Kuja mahakamani kosa la uhaini ni zito

    Hukumu sio swala la haki, bali ndio njia ilibaki ya mfumo kujiimarisha. Kwa kuzingatia meenendo wa matukio, hukumu ii tayari
  4. K

    JamiiForums Tanzania Jaji Ndunguru: Summons zitolewe kwa DCI, CDF na IGP waje kutoa ushahidi upande wa utetezi

    Naomba urudie tena kusoma huku ukihusianisha na tuhuma za uhaini
  5. K

    JamiiForums Tanzania Unaita mashahidi ambao unajua fika watakukandamiza. amakweli Lisu kachanganyikiwa.

    Ili wapate kuhuthibitishia mahakama na umma kuhusu tuhuma za uhaini. Tena hao watu wa usalama DGIS, IGP na CDF ndio wanasubiriwa wauanike uhaini vyema. Jaji aliposema viongozi hawana ushahidi muhimu ni kwa kuwa wao hulindwa tu dhidi ya 'uhaini', wanaojua viashiria vya uhaini ni hao walinzi...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Ulinzi kuimarishwa maradufu siku ya hukumu ya kesi ya uhaini.

    Ulichoandika kilionekana siku ya kwanza ya usikikizwaji wa kesi. Kama ilitolewa amri ya kuua holela, Polepole n.k walizimwa, Nchimbi akatimuliwa, ...... Je ni ubatili gani tena zaidi unaotarajiwa? Itafika Rufaa ili watu waenselee kuishi kwa 'amani'. Kumbuka: Dhuluma haijawahi kuacha mtu/jamii...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Bila kuwachafua wenzake kwa shutuma za uongo Lissu asingeshinda uwenyekiti

    Ule uchaguzi wa kidemikrasia, hauwezi fafsna na amri ya watu kumiminiwa marisasi hovyo ili kujitwalia mamlaka.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Labda huyo raisi asiwe mwafrika. Mwafrika hata akiwa kwenye koma bado anatetea kiti
  9. K

    JamiiForums Tanzania Nimekataa kurudiana naye, sasa anataka kuvujisha picha mtandaoni alizonipiga kwa Siri. Sijui Nifanyaje?

    Kama vp anza kuchukua ushahidi wa location/room Akiziweka hewani unamfungulia mashataka kutaka fidia ya mabilioni. Hilo biti ni la kishamba sana
  10. K

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Dah! Yaani mtu anaweza 'kujiuza' apate iPhone, ila hana nyumba. Hii dunia inamaajabu mengi asee
  11. K

    JamiiForums Tanzania KERO Askari wa Polisi wa doria wa Rukwa wanatumia mamlaka yao kutunyanyasa

    Kwani wale wazalishaji wa radi za 500 wamepotelea wapi? Just kidding!!
  12. K

    JamiiForums Tanzania Wayback: Gono ni hatari sana

    Nadhni ingekuwa jivi: 1. Uume - me 2. Mdomo - ke 3. Hasira!. Note: Namna Chivundu, leo dada na Kalpana walibyoandoka kumenifurahisha sana jioni hii
  13. K

    JamiiForums Tanzania Eda ni nini? Je, Rais Samia kuendelea kuongoza akiwa eda?

    Masharti mengi ya dini yanatekelezwa na maskini
  14. K

    JamiiForums Tanzania Bibi alietembea kwa miguu ampe Rais zawadi ya kuku apewa gari

    Igizo lipo wazi sana!
  15. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Nadgani kuna ntu atalia kinafiki; atalia ipatikane kideo
Back
Top Bottom