1. Hilo swali ni refu, na kwenye maswali mengi kama zile NECTA za miaka ile!
Ukiongalia hiyo video kwa umakini, na kuyaangalia mazingira yake, kwa Tz na Urusi ni kwamba Tanzania haina mbia wa kufanya nae biashara.
Sidhani kama kuna taifa linaloeleweka kibiashara lisilo na vikwazo vya US.
2...
Hiyo ni michango inayoweza kuaminiwa navwatoto wachanga.
Ikifika 2929, 2030 hixo kauliv hazisikiki.
Ogopa sana mtu anayekukata, akijua ataomba msamaha ili hali anmeficha panga na tupa
Na James Mbowe anajipima ubavu kwa Heche.
LYatonga alizeeka vibaya, atafuata bodi wao.
Miaka kadhaa nyuma miongoni mwa makada wa CHADEMA aliwahi sema Mbowe atakuja kukisaliti chama - double agent, hakueleweka. Muda methibitisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.