Recent content by Kima cha Chini_KCC

  1. Kima cha Chini_KCC

    NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

    o_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_Oo_O
  2. Kima cha Chini_KCC

    NDOTO: Rais Magufuli kutawala awamu moja tu...

    Lala tena uote, jamaa anapiga kazi tu kutimiza aliyoahidi. Kwa mujibu wa katiba mkataba wake ni awamu moja tu (5 yrs), hiyo awamu nyingine unaiota wewe.
  3. Kima cha Chini_KCC

    Kufikiria kwamba Uturuki watatoa mkopo nafuu wa Reli kuliko China ni kujidanganya

    POINT, hao wabishi waende huko Kenya na Ethiopia waone hili. Kenya wameanza kulalamika, jamaa wametoa mkopo, wamejenga, wamewauzia locomotives na wagons, na sasa wataendesha reli kwa miaka 10 ndipo waikabidhi serikali ya Kenya project, the same kwa Ethiopia-Djibuti Railway. Pili reli yetu ni...
  4. Kima cha Chini_KCC

    Zitto Kabwe: Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa taarifa za uongo na majungu, muda utasema

    Wewe hujasikiliza vizuri, mbona mnamfanya rais kama ni mtu asiyejua kila kitu? hapo amesahihisha kabisa kwamba ktk agency za Africa Tanroads ya Tanzania ni ya tatu. Acha majungu.
  5. Kima cha Chini_KCC

    Msaada: Kuagiza nguo online toka China kupitia Alibaba

    Ni kweli Kristian nasikia bongo sasahivi KIMENUKA. Hata Airport pale ni shida sana aiseee, mzigo kidogo wanakomaa sana. Chamsingi jamaa ajipange tu aache woga wa mtandao siku hizi ndiyo deal, unapunguza gharama za kusafiri mwenyewe na pia unaokoa muda.
  6. Kima cha Chini_KCC

    Msaada: Kuagiza nguo online toka China kupitia Alibaba

    Kaka, Alibaba siyo waarabu ni kampuni ya tajiri namba moja China (Jack Ma). Kupitia alibaba kuna makampuni kibao mojawapo ni Taobao (ambayo inajishughulisha na kuuza bidhaa online). Unaweza kununua kila kitu pale na wanakuletea hadi nyumbani. Mimi nipo Shanghai (China) hapa huwa natumia sana...
  7. Kima cha Chini_KCC

    Kenya yaagiza treni 56 kwa ajili ya SGR

    Locomotive ni adjective - enye nguvu ya kwenda, pia ni noun-kichwa cha garimoshi. Ila sisi tunaita treni, neno sahihi ni garimoshi. Kiswahili kipo wide sana, tatizo maneno mengi hatuyatumii sana, tunatohoa ya kizungu. Hahaha Lugha nyingi zipo namna hii, sometimes unakosa neno moja kutafsiri...
  8. Kima cha Chini_KCC

    Kenya yaagiza treni 56 kwa ajili ya SGR

    shunt vt,vi 1 (of railway wagons) chepua/geuza njia. ~ing-yard n uwanja wa kugeuzia gari moshi. 2 (of a train) peleka njia nyingine. 3 (fig, colloq) kwepa, ahirisha. 4 (fig of a project) weka pembeni. ~er n mgeuzaji reli Shunt lipo mzee, wewe tu hukuhangaika vya kutosha.
  9. Kima cha Chini_KCC

    Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

    Sijaona point uliyoongea hapo nikakubishia zaidi ya kuongelea majipu yanayokuhusu. Utatumbuliwa tu, rudi shule ukasome microbiology ndiyo urudi hapa kucomment.
  10. Kima cha Chini_KCC

    Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

    Inatege Inategemea na level yako ya understanding. Comments zote nimesoma, ila wewe unahitaji ziara ya kushtukiza.
  11. Kima cha Chini_KCC

    Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

    Nakuelekeza tu mzee, inaonesha uelewa wako mdogo sana. Ni msaada tu ndugu utoke gizani. Wewe utakuwa umekula ugali wewe aflatoxins, Hehehehe!!
  12. Kima cha Chini_KCC

    Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

    Acha uzembe wa kudadavua mambo, elewa source ya hiyo toxicity (aflatoxin) mjadala utakwisha. Wikipedia ni source tu, tafuta hata vitabu usome (Jipu wewe). Hao fungus aina ya Aspergillus wanakua maeneo mbalimbali pamoja na vyakula ambavyo vimeorodheshwa hapo vikiwa havikuhifadhiwa vizuri (siyo...
  13. Kima cha Chini_KCC

    Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

    WADAU TUJIFUNZE KUSOMA NA KUPANUA WELEDI WETU KATIKA KUCHANGANUA BAADHI YA MAMBO, SIYO KUKURUPUKA TU NA MADA KAMA ZA NAMNA HII: KUHUSU Aflatoxin (Nimecopy na kupaste toka Wikipedia), someni kwa faida ya hii thread. Aflatoxins are poisonous and cancer-causing chemicals that are produced by...
  14. Kima cha Chini_KCC

    Natafuta kazi, Tutorial Assistant

    Una GPA ya ngapi? Manake usije kuwana pass degree halafu unatusumbua humu.
  15. Kima cha Chini_KCC

    Enyi wanaume msiwe na tabia kama za mume wangu

    Mi nadhani hapo kunatatizo lingine wala siyo hizo hela za mkopo. Kwanini ulikuwa unawakopesha mawifi bila kumshirikisha mumeo? Kabla ya kumjibu huyo wifi yako ulitakiwa kujadiliana na mumeo kwanza na siyo direct namna hiyo. Nadhani wewe utakuwa una tatizo jingine na hao wifi zako. Haiwezekani...
Back
Top Bottom