Zitto Kabwe: Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa taarifa za uongo na majungu, muda utasema

Mimi niko Mkoa wa Shinyanga, ukweli ni kwamba mvua zinasuasua na tayari mahindi ya Mwanzo yamekauka kwa jua na bado Mbuga nyingi za mpunga zimebaki machungio ya mifugo tu nao wana hali mbaya sana. Muda utasema na ndipo watu watajua kuusimamia ukweli.
 
rais magufuli ifikie kipindi akubaliane na ukweli anaoambiwa ukali hauna nafasi katika shida hizi tulizonazo...nahisi ipo siku atatokewa na mzimu wa hayati baba wa taifa amuelekeze jinsi ya kuiendesha Tanzania

sikatai magufuli ni kiongozi mzuri lakini kuwa kiongozi bila team work ni shida,team work ni sisi na yeye atusikilize basi
Hana uzur wowote!aibu yako ww
 
Jamani jamani, hapa nina kama nusu saa nimetoka wilaya ya mvomero, hali ni mbaya saana! Wamasai wanalia ng'ombe zinakufa uck na mchana. Siri ya mtungi aijuae ni kata! Ukitembea vijijini kwa wakulima na wafugaji utapata majibu wewe mwenyewe! Unga kilo moja 1600, jua ni kali hakulimiki wala hakupandiki chochote! Over
 
Hatuna raisi miaka 5
Mungu ibariki Tanzania na watu wake!!
Tanzania kwa sasa haina Rais ila kuna mwendawazimu mmoja amevamia Ikulu kupitia CCM!!!
Haya maneno hayapashwi kutoka kwenye mdomo wa Rais au Mkuu wa nchi yeyote!
Magufuli hawatendei haki Watz kwa kuropokaropoka hivi kama mvuta bangi!
Hivi tukimwuliza JPM kwamba nini kipaumbele chake kunapokuja swala la NJAA na NDEGE, au ELIMU BURE na NJAA???
Hivi kwa akili ya Magufuli, hizo ndege za Bombadier ni bora zaidi kuliko maisha ya Mtanzania atakayepoteza maisha kwa njaa? Huyo mtoto atasomaje darasani elimu ya bure wakti ana Njaa tumboni??!
Huyu JPM ni janga kwa Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!
 
Halafu upande wa pili wanataka wawekezaji waje kujenga viwanda, hakuna mfanyabiashara kichaa au muwekezaji kichaa aje kwenye nchi kama hii isiyo na Sheria ila matamshi na utashi
Serikali ya viwanda wamefanikiwa kujenga kiwanda cha majungu Lizaboni
 
"...anayejua kuna njaa nchi hii ni Rais, mimi ndio naejua wapi kuna njaa na wapi hakuna.Tanzania hii haina njaa wala watu hawana njaa". JPM, Simiyu - 11/01/2017.

[HASHTAG]#Note[/HASHTAG]: Hii ni Nchi ya Kufikirika! Mimi nimekuwa mkoani Mara kwa wiki mbili, watu wanashindia maembe na msimu wa maembe umekwisha sijui kama watashindia mapapai, hakuna chakula. Unapokuwa Rais wa nchi lazima uwe na busara na hekima za juu sana.
[HASHTAG]#JSM[/HASHTAG].

Taja maeneo gani wameshindia maembe huku Mara? Una uelewa na Mkoa wa Mara wewe? Majungu hayajengi ndugu.
 
We kwanza kuandika hujui.fanya kazi yako ya ukahaba kama imekushinda kalale sio unatapika pumba zako...mijitu mingine kama michawi

It seems you did not go to school, I can judge you by your language. President Magufuli is here to stay accept it and move on.
 
Wewe na babako ndo mlikuw mnamtaka hyo sio mimi kunguru wew jisemee wew sio kuwasemea wengne.we utakuw mchawii

Wewe unamushambulia kila mtu inabidi ujiunge na kisomo cha ngumbali ujifunze kutokubaliana na watu kwa lugha ya heshima. Una lugha chafu sana inabidi upige muswaki na breach shame on you.
 
Jamani jamani, hapa nina kama nusu saa nimetoka wilaya ya mvomero, hali ni mbaya saana! Wamasai wanalia ng'ombe zinakufa uck na mchana. Siri ya mtungi aijuae ni kata! Ukitembea vijijini kwa wakulima na wafugaji utapata majibu wewe mwenyewe! Unga kilo moja 1600, jua ni kali hakulimiki wala hakupandiki chochote! Over

Kila sehemu kuna njaa siyo Tanzania peke yake. Tufanye kazi tupambane na njaa.https://www.kenyamoja.com/video.php...be.com/embed/f9jh632D7lU?autoplay=1&rel=0
 
kina gogo la shamba tulishasema kwamba,miaka hii mitano itakwisha kwa kusikia na kuona mambo mengi ya ajabu hasa kutoka kwa watu tuliokuwa tunawategemea kutuletea maendeleo
 
Naona anajihami kabisa kwa kauli hii

Mwishoni Rais amemalizia kwa kusema
"Naweza kuwa sio mwanasiasa mzuri sana,Lakini ipo siku mtakuja kunikumbuka"

Mheshimiwa raisi mpendwa wetu kauli zako zinaudhi sana, uungwana ni kauli nzuri na ndio hekma ya uongozi..
Siku zote ukweli huwa unaudhi kuliko ghiriba au hadaaa na mtu laghai hupendeza sana kumsikiliza na ndio maana Afrika siasa hutafsiriwa kama ushawishi wa kuhadaa umma.
 
Anaandika Zitto Kabwe

Rais umeamua kuchagua upande wa wanaokupa Taarifa za uwongo na majungu. Muda utasema. Wengine tumesema, tumeonya kwa mapenzi mema ya nchi. Wewe ndio mwenye vyanzo vingi na mkono mrefu. Umetamka hakuna njaa. Umefunga mjadala. Lakini uwe tayari kubeba mzigo wa maamuzi yako yanayotokana na habari za majungu, uwongo na kutaka kukufurahisha.

View attachment 458891
=========

SOMA: Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa,yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara


Hekima ni bidhaa rahisi na ghali sawia. Ni rahisi sana kupata mhemko na kuropoka jambo, lakini mwisho wa siku ni vigumu sana kufuta jambo hilo kwenye mawazo ya watu utakapogundua kuwa hukutumia busara kunena. Yanayosemwa sasa na viongozi wetu kupitia kauli za kejeli na dhihaka kwa umma yatawagharimu mbeleni watakapotaka tena ridhaa ya watu kubaki katika nafasi zao.
 
Back
Top Bottom