kuna tym utagundua kweli si wapinzan ni mamburula tunaanza kuongelea movement za chama kisicho kuhusu badala ya kujenga chako jiulize operation sangara imeishia wapi now M4C inafanya next year serikali za mitaa ni uchagyz ndo utatoa dira kukubalika kwa upinzani tanzania kivipi tufanye vizuri...
unakosea mnh ndugu haruhusiwi kuwepo wodini wakati wa round sema kuna relative wanakera mnapita round yy kwasababu anajuana na flan wale alinzi na manesi wakimtoa analetadharau ndo maana at the end wanakua wametega maskio dr atraongea nn jamaa ni mnafki tu
mkuu ze macopolo achana na mbunge utamdhalilisha ...cjui anatafuta nn he is popular bt leo pumba kwa kufind cheap popularity na jamaa ni mzee wa kushindwa kila kitu
hivi haya yote c aliyaweka waz wakati wa mahojiano ya siku nzima na asha dii kweli jf viazi wengi nashauri wamiliki waondoe hiyo kauli ya great thinker koz hao magreat thinker wamekaa kimajungumajungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.