Recent content by kim nama

  1. K

    Tunduma: Vurugu za kidini zaibuka upya

    ndo nn sasa hiki na ww unakurupuka kuleta uzi usio jielewa
  2. K

    Mchakamchaka ya CUF chali, yageuka chama cha press conference

    kuna tym utagundua kweli si wapinzan ni mamburula tunaanza kuongelea movement za chama kisicho kuhusu badala ya kujenga chako jiulize operation sangara imeishia wapi now M4C inafanya next year serikali za mitaa ni uchagyz ndo utatoa dira kukubalika kwa upinzani tanzania kivipi tufanye vizuri...
  3. K

    Madaktari wa Muhimbili: This is unprofessional....!

    unakosea mnh ndugu haruhusiwi kuwepo wodini wakati wa round sema kuna relative wanakera mnapita round yy kwasababu anajuana na flan wale alinzi na manesi wakimtoa analetadharau ndo maana at the end wanakua wametega maskio dr atraongea nn jamaa ni mnafki tu
  4. K

    Ben Saanane amlipua Nape Nnauye

    mia jamaa ni mnafiki sana chadema yabidi kuwa makini na huyu mole ben saa8
  5. K

    Hamisi Kigwangalla ni-tayari kwa mdahalo na mtu yeyote yule!

    mkuu ze macopolo achana na mbunge utamdhalilisha ...cjui anatafuta nn he is popular bt leo pumba kwa kufind cheap popularity na jamaa ni mzee wa kushindwa kila kitu
  6. K

    Fikra na Mtazamo wa Andrew Kambarage Nyerere Kuhusu Itikadi za CHADEMA

    ulitaka ww unae tumia fake id ndo ufungue thread
  7. K

    Jina la Said Nassor Bagaile ndiye Hamis Andrea Kigwangalla?

    Yawezekana ana akili ya kukariri darasani, na ndiyo maana aliweza kufaulu masomo ya udaktari ..........umeamua kuwatukana na madr wote
  8. K

    Haijawahi kutokea... Zitto afunika Kasulu mjini, CCM, NCCR Matumbo moto!

    wataje tu shardcole mamuya ben saa8 et al
  9. K

    Zitto: CCM inachonganisha viongozi wa CHADEMA

    hivi haya yote c aliyaweka waz wakati wa mahojiano ya siku nzima na asha dii kweli jf viazi wengi nashauri wamiliki waondoe hiyo kauli ya great thinker koz hao magreat thinker wamekaa kimajungumajungu
  10. K

    Ni wapi kwa Dar naweza mpata specialist wa ENT (masikio, pua na koo)?

    namanga ent clinic ya dr kimario wa muhimbili
  11. K

    UPDATES: Kutoka Baraza Kuu la CHADEMA - Diamond Jubilee Hall

    unamaanisha microfinance
Back
Top Bottom