piter lijualikali, huyu ni diwani kata ya ifakara mjini, Aziz himbuka huyu ni katibu wa mbunge mnyika, suzan kiwanga huyu ni mbunge viti maalum, remija mtema,na edo mchonde.
Watangaza nia hao ni kwa upande wa CHADEMA.
Peter Lijua Likali, ambaye kwa sasa ni diwani wa Ifakara mjini, Aziz Himbuka ambaye ni Katibu wa Mnyika, Suzan Kiwanga, mbunge viti maalum na Edo Mchonde.
kumekuwa na malumbano ya wazi kabisa miongoni mwa viongozi, hali hiyo inatokana na baadhi ya viongoz hao kuwa na interest binafsi na baadhi ya wagombea hasa wale wenye uwezo kifedha. hali hiyo imepelekea kuwagawa wanachama na kama mgogoro huo utaendelea basi utatoa upenyo kwa ccm kulichukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.