Recent content by kilimanjaro1

  1. kilimanjaro1

    Ndege anayopanda Rais ina call sign gani?

    Sio kila jambo unapaswa kulijua.... Hata hiyo "code name" ya Trump ni tofauti sna n mliyoizoea nyie ktk Movies za "Hollywood" Rais Trump ana code name yake ya siri japokua ndege ndio inaitwa AIR FORCE ONE lakini pia akiipanda kuna jambo linaongezeka pale mbele (sub-code) so kwa hapa TZ huwezi...
  2. kilimanjaro1

    Matapeli wakubwa 5 kuwahi kutokea Tanzania

    KATIKA LIST HII YA MATAPELI ONGEZA NA JINA LINGINE (ALEX MSAMA MWITA) AU ALEX MSAMA, AMBAYE NI TAPELI WA KUTUPWA ANAYEJIFICHA KWA MWAMVULI WA DINI, HUYU JAMAA ANAVILIO VYA WATU WENGI SANA HASWA VIJANA WALIOPO KATIKA TASNIA YA MUZIKI WA INJILI PAMOJA NA MEDIA.
  3. kilimanjaro1

    Notisi ya Alex Msama kwa wafanyakazi wake

    Huyu mzee ni TAPELI kilakona wanalia nae, tatizo nikwamba anafanya mambo kama hakuna serikali na kujitamba yakwamba ukienda mahakamani yeye michezo yote ya mahakama anaijua so atakushinda tu....!
  4. kilimanjaro1

    Ali Kiba Fans' Special Thread...

    Kiba amesha ishiwa.... Tuwe wakweli tu cz njia alizopita yeye na support aliyonayo, hakutakwa kuwa mbaaaali sna Leo hii lakin hadi hivi sasa hana jipya kabisaaa imabaki sauti tu lakin hakuna jipya!
  5. kilimanjaro1

    Crazy GK baada ya kimya kirefu aonekana

    Mziki unakupiga chenga!!...
  6. kilimanjaro1

    Baraza la Usalama la Taifa

    Jamani sio kilakitu ni lazma kukiweka wazi... kunavitu vingine nadhani ni siri zaid kwahivyo vinafanyika lakini kwa kufata kanuni na misingi ya kazi yenyewe... kama hiki chombo kingekuwa hakifanyi kazi ipasavyo cdhani kama tungeendelea kuwa na amani na utulivu huu tulionao hadi sasa!!
  7. kilimanjaro1

    Duh! Mpemba na mchaga wakomolewa na mwenye gest!

    Ha ha haaa!!! .... safi hiyooo!
  8. kilimanjaro1

    Tukio hili likikutokea utafanyaje huko mbugani?

    Hapo hakuna ujanja zaidi ya kushuka na kutimua mbio tu!!.... manake inaelekea muda si mrefu atailalia kabisaaaa! manake tembo mwenyewe nahisi amevimbiwa hyo!!...
  9. kilimanjaro1

    Vinega ndani ya a-town city

    mie pia nasubiria hayo mafotooo
Back
Top Bottom