Mpka sasa baadhi yetu tupo mtaani na kesi inaandaliwa kufunguliwa vijana wengi tunaosoma chuo hiki tunaamin ukawa wakiingia madarakani hili tatizo mtalitatuwa na vijana wengi wa hapo Kampala tupo tayar hata kuwapigia kampen ukawa kwn serikal ya ccm imeshndwa hvyo basi ukawa tupo pamoja na tupo...
Kwa Mara ya kwanza nilianza kuichukia ccm siku ya bajeti ya wizara ya elimu ambapo baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala campus ya dar(kitivo cha afya) tulienda bungeni kuwasilisha matatizo yetu kwan tulienda ofisi nyng hapa dar pasipo majibu,tukaamua baadhi twende mjengon...
Wasisahau na KIU vyote hvyo majanga,mm mwenywe nlkuwa mwanafunzi wa hcho chuo ila nimeamua kuacha maana nimeona hakina tija hvyo wadogo zetu kuwen makin na hvyo vyuo
Yaan hcho chuo hakifai hata kdgo hasa upande wa kada ya afya, mitaala mibovu,wahadhiri wasio na sifa,ukosefu wa rasilimali za kufundishia na hyo ndio imepelekea wahitimu wa pale kukataliwa na bodi za kitaalam af cha ajabu pamoja na malalamiko ya wanafunzi serikali imekuwa ikimkumbatia huyo...
Nakushukuru inaonekana mwanzo ulikuwa hauelewi kinachoendelea pale ila ukipewa elimu zaid utaelewa, kuhusu waliopo madarasan especially medicine kuna mchezo ulfanyka pasipo wao kujielewa ndo maana wamejikuta wapo darasan na wengi wao walikuja direct pasipo kuletwa na serikali na wengne vigezo duni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.