Sawa ushauri muangalie sana watu wanabaki kwenye kanzi data yenu wanakaa miaka 2 hawaitwi ukiangalia kada ambazo mara kwa mara mnaita watu kwa interview majina yao yamebaki huko bado mnaita interview
Mfano mtu amesoma mass communication,Journalism, Public relations
Mtu wa hivi mkitangaza...
yani mimi ndoto za nyoka zinanitesa sanaa nimeota nyoka mara 3 ananiuma siku naamka asubuhi nakuta nyoka chumbani kwangu cha kwanza baada ya kuamka nikanyanyua begi chini naona kitu cheusi kumbe alikuwa nyoka
Habari za wakati Huu
Naomba kufahamu hili fao la kujitoa lipo?? Kama mtu ameshaacha kazi au mkataba wake umeshaisha aliajiliwa kwa miaka 2 na mkataba umeisha je analipwa au ipoje bado paka sasa naomba kufahamu wadau katika hili
Samahani kwa yeyote anefahamu treni inayoelekea njia ya Kilombero Mang'ula ni ile inayoenda Zambia abiria anapandia pale Tazara au?
Je first class ni bei gani na neo nyingine kwa ujumla?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.