Javis Elias Balilemwa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 489
- 67
Mmojawapo kati ya hawa nimempigia simu kanitukana wamehamaki kweli.
True mmoja wapo kakutukana ?
Mmojawapo kati ya hawa nimempigia simu kanitukana wamehamaki kweli.
wapumbavu huwaza kipumbavu na kuamini kipumbavu.
Acha kushabikia kifo cha mtu mkuu,,,au umekuwa malaikaNaona kaamua atangulie kabla hatujamshughulikia
wewe uliyemsafi pasipo dhambi kuwa wa kwanza kumuita mwenzio mwenye dhambi.R.I.P sijui kama ametubu dhambi yake ya kututabiria fisadi kuwa Rais wetu
Acha kuleta mizaha kwenye ishu za vifo wewe,hebu jaribu kuwa km mtu mzima uliyekomaa kiakili na kifikra eeboo!!!.Kwikwikwikwikwikwiiii. Kaogopa kuuawa kaamua kujidedisha
Sasa hivi wanaisoma namba na akili zimesogeleanaAcha kuleta mizaha kwenye ishu za vifo wewe,hebu jaribu kuwa km mtu mzima uliyekomaa kiakili na kifikra eeboo!!!.
Ni lini Kakobe alitamka Lowasa asiposhinda auliwe? Usitafute uadui na watumishi wa Mungu.taarifa zimfikie kakobe na ngwajima
Wewe ni mwongo uliyekubuhu.Mmojawapo kati ya hawa nimempigia simu kanitukana wamehamaki kweli.
hahahahahahaAmekufa kwa Aman kabisa, Lowasa ndio Rais.