Recent content by Kilangi masanja

  1. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Leta kipengele cha kuichagua hio speedaf kwa bidhaa yeyote ile ilioko aliexpress kiongozi tukione na sie tujifunze ila kwa uelewa wangu speedaf kwenye list ya shipping carrier walioko kwenye bidhaa zote a aliexpress wala hayupo, nakupa mfano mwingine hapa
  2. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Bidhaa hizo na zinafika fresh tu na unapatiwa huduma kama inavyotakikana na pia tizama ushahidi hapo wa speedaf mhusika alipokea simu akaona ajipongeze mpka leo hajatoa ushirikiano na mfumo unataja hadi namba yake ni hio na hajawahi patikana na hq speedaf majibu hovyo ngoja kikikulamba
  3. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Acheni ujuaji usio na tija haya specific eleza kabisa ukiingia aliexpress kununua mzigo kuna sehemu umewahi kutana na shipping carrier speedaf (imetajwa before ya kufanya malipo) au automatic wao ndio wanaselekt item ije na carrier yupi? Kama hujui procedure za kununua vitu online utabaki...
  4. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Kama kitu hukijui bora uulize sio kuwachafua posta sheikhe nina uzoefu wa miaka kumi now kununua online na sijawah poteza chochote
  5. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Mtoa bandiko pole kwa kutokujua haya, Kwanza huo mda ulioandikwa hapo wa siku 75 kama sikosei ni makadirio ya juu ila aliexpress now wako njema mara nyingi mizigo naipata chini ya siku 18 hivo nunua tu. Product kua na free shiping isikufanye kusita kununua kwani mizigo inasafirishwa na...
  6. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Aliyetumia router ya halotel aje atupe mrejesho kuhusu ufanisi wake

    Juu ya paa darini au umefanyaje kiongozi hebu nnisanue nam nipandishe yangu
  7. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Malizia kwa lugha nyepesi kwamba hardware ikoje mkali
  8. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Umenena tena hyper os 3imekuja na mazuri mengi sana, kuna habari mbaya kuhusu oppo kujitoa kwenye soko la kimataifa atabaki tu China hivo watumizi wa oxygen os wanakwenda kupotea soo
  9. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    So hapo unakaa upande upi ndugu yangu, mie hyper os kisha color os
  10. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Sasa kiongozi note series si simu za zamani
  11. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli asitisha Usajili wa Meli Tanzania, aagiza uchuguzi wa kina wa Meli 470 zilizosajiliwa Ufanyike

    Duu sina la kusema ila asante kwa kunikumbusha, ina maana hii ya sasa ilipata usajili baada au kabla ya mwendazake kung'ata pamba
  12. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Samsung wamezindua simu Galaxy S26 Series!

    Kama sikosei samsung hua wakizindua simu wanakua tayar washatoa mzigo kwa wale waliopreoder masaa machache tu baada ya uzinduzi mzigo uko sokoni. NAIONA PIA SOKO LA PINDOUDOU WASHAWEKA
  13. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Nauza iPhone 12 plain 128gb,charger,earpods na cover

    Kwa hio hii laki 2.5nikuwekee kwa namba hio?
  14. Kilangi masanja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapenzi ya mbali yanaumiza moyo sana

    Ni upuuz wa hali ya juu kua na mahusiano ya mbali na hasa kwenye ndoa binafsi niliojifunza ni mengi kupitia mahusiano ya namna hio enyi vijana kaa na ndoa yako au mahusiano yako karibu akienda mbali piga chini, kwenye bustan tulioneshwa dakika zero tu kiumbe akala tunda sasa kwa ulimwengu huu...
Back
Top Bottom