Recent content by Kilangi masanja

  1. Kilangi masanja

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Malizia kwa lugha nyepesi kwamba hardware ikoje mkali
  2. Kilangi masanja

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    Umenena tena hyper os 3imekuja na mazuri mengi sana, kuna habari mbaya kuhusu oppo kujitoa kwenye soko la kimataifa atabaki tu China hivo watumizi wa oxygen os wanakwenda kupotea soo
  3. Kilangi masanja

    Je, unazingatia nini unapochagua UI ya simu

    So hapo unakaa upande upi ndugu yangu, mie hyper os kisha color os
  4. Kilangi masanja

    Matatizo ya Samsung Galaxy S Series used hasa za kutoka Dubai

    Sasa kiongozi note series si simu za zamani
  5. Kilangi masanja

    Rais Magufuli asitisha Usajili wa Meli Tanzania, aagiza uchuguzi wa kina wa Meli 470 zilizosajiliwa Ufanyike

    Duu sina la kusema ila asante kwa kunikumbusha, ina maana hii ya sasa ilipata usajili baada au kabla ya mwendazake kung'ata pamba
  6. Kilangi masanja

    Samsung wamezindua simu Galaxy S26 Series!

    Kama sikosei samsung hua wakizindua simu wanakua tayar washatoa mzigo kwa wale waliopreoder masaa machache tu baada ya uzinduzi mzigo uko sokoni. NAIONA PIA SOKO LA PINDOUDOU WASHAWEKA
  7. Kilangi masanja

    Nauza iPhone 12 plain 128gb,charger,earpods na cover

    Kwa hio hii laki 2.5nikuwekee kwa namba hio?
  8. Kilangi masanja

    Mapenzi ya mbali yanaumiza moyo sana

    Ni upuuz wa hali ya juu kua na mahusiano ya mbali na hasa kwenye ndoa binafsi niliojifunza ni mengi kupitia mahusiano ya namna hio enyi vijana kaa na ndoa yako au mahusiano yako karibu akienda mbali piga chini, kwenye bustan tulioneshwa dakika zero tu kiumbe akala tunda sasa kwa ulimwengu huu...
  9. Kilangi masanja

    Mkoa gani unaongoza kwa gharama kubwa za maisha?

    Ukishaitaja Mtwara usiisahau lindi ya moto sana
  10. Kilangi masanja

    Unabadilisha simu kila baada ya muda gani? Na vipi vipaumbele vyako unavyobadilisha?

    Kwa sasa hizo spec hasa kioo ndio mziki ulipo simu nyingi ni kubwa sana kwa umbo, ila upande wa battery ziko poa sana
Back
Top Bottom