Recent content by Kilangi masanja

  1. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania KERO Wamang'ati wamevamia mashamba yetu, tunaomba Serikali iingilie kati

    Nachingwea mbambadu moia hamia kiegei ukahangaike na tembo
  2. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Kushonesha suruali ya kitambaa nikabaki tu nazitizama sikuwahi zivaa
  3. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Kama ni ile ya umbo la pentagon tufanye biz naisaka sana
  4. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Vitu/vifaa gani ulivinunua kwa mihemko na umejikuta huvitumii kabisa?

    Duu jet hio zi inact tu kama wese la taa
  5. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Kwanini asijiuzulu Leo badala ya tarehe 4 Septemba? Anataka kumalizia kazi gani aliyoisahau na anadhani watampa nafasi aikamilishe?

    Kwa hio wewe ofisini kwa watu hua unaondoka tu bila kukabidhi ofisii
  6. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania KERO Mwalimu wa Sanaa, nafanya kazi Miaka 4 sasa Ilala bila Malipo

    Kaka pole ila kama unaweza na huna majukumu ya msingi ,kuhudumia familia wewe mwenyewe tegemezi ,amka jifute vumbi anza kuikataa hio hali kwa nguvuu moja wanakubeba ujinga,saka ata dili za ujenzi anza nazo kisha tujue nini cha kufanya ila kujitolea hapana
  7. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Akuna kitu cha kimsingi kabisa cha kuifanya Tanga au Mbeya kua majiji,ukiondoa mkakati wa kiserikali kali kuchochea kasi ya maendeleo ya kikanda.Ila kiuhalisia hio ni miji iliochangamka tu . Ui
  8. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Hapa nitagusia haya, mizigo toka pindou tunainunua na kuisafirisha bila tabu kupitia hawa forwading agent walioko hapa nchini na wanafikisha mizigo kwa ufanisi na uharaka tu. Mara nyingi mizigo isio na asili ya vilipukizi kwa ndege hutumia si zaidi ya siku 7toka siku mzigo utakapokua...
  9. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Nielekeze hio ya QR kwa simu upande wa crdb kwa namba kutoa cardlessly
  10. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Hio huduma kama ipo na hua naiona pia je mkuu unaweza ihusianisha vipi na nfc kwenye simu upande wa kutoa pesa bank manake kuna simu zina nfc na nikigugo naona hio feature inauwezo wa kutoa pesa kwa siku
  11. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Pombe feki zinalipa sana. Walevi jiandaeni na DIALYSIS!

    Ndio ivo akili kumkichwa ukiamua ila tuanze kupiga vita vitu fake haiipi
  12. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Degree ya Fine Arts ya UDSM inaweza kubuni art level za Diamond Platnums?

    Ukweli mtupu nikiwa mwanafunzi wa muziki kwa sasa japo nina miez mitatu ila nimejua muziki unaosomwa na huu muziki unaotajwa naiona na kuioewa tofauti yake pakubwa mnoo
  13. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Degree ya Fine Arts ya UDSM inaweza kubuni art level za Diamond Platnums?

    Asante kiongoz leo hii mimi nikiwa shule ya muziki ndio nimekuja kujua muziki tunaousoma na utofauti na huo muziki wa kina diamond unaosemwa
  14. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Unaweza sema umekwama kipengele kipi ili nijue pa kuanzia au ni mgeni kabisa unataka upatiwe msaada kuanzia hatua ya kujisajili na kuweka anuani zako na mengineyo?
Back
Top Bottom