Umenena tena hyper os 3imekuja na mazuri mengi sana, kuna habari mbaya kuhusu oppo kujitoa kwenye soko la kimataifa atabaki tu China hivo watumizi wa oxygen os wanakwenda kupotea soo
Kama sikosei samsung hua wakizindua simu wanakua tayar washatoa mzigo kwa wale waliopreoder masaa machache tu baada ya uzinduzi mzigo uko sokoni. NAIONA PIA SOKO LA PINDOUDOU WASHAWEKA
Ni upuuz wa hali ya juu kua na mahusiano ya mbali na hasa kwenye ndoa binafsi niliojifunza ni mengi kupitia mahusiano ya namna hio enyi vijana kaa na ndoa yako au mahusiano yako karibu akienda mbali piga chini, kwenye bustan tulioneshwa dakika zero tu kiumbe akala tunda sasa kwa ulimwengu huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.