Huo ni ukweli kwa asilimia mia ,pombe huleta maumivu ya nafsi kesho yake baada ya kugundua aidha mwenyewe au kuelezwa ulichofanya jana ,hili huishi kumtafuna mhusika kwa asilimia zote na pengine kwa uchache kuwaahidi watu walio katika circle yake kua hatorudia.
Maamuz mengi yanayofanywa na...
We nawe kwani ulikua wapi ,hio ni biashara kama maduka ya kariakoo tu ,hapo kila kichwa kuvuka toka namanga kuelekea kusini si chini ya dola 500 sheikhe
Nimejifunza mengi ila sikuhizi nasaidia sana wanaume kuliko wanawake, na wanawake naosaidia i wale watu wazima sana sana ,hiki kizazi cha 1997 kuendelea kimeshanitoa imani nacho kabisa ,Hio ni miamala ya wadau waliosaidia na kuna uwezekano kuna wengins wengi tu nao hawajatajwa hapo na madau...
Inshu upishi wake mzee hapo ukibugi umekula sumu ,goma linahitaji upishi wa umakini na si chini ya masaa6 ,hua nawashangaa sana watu wanaula huo bila wasiwasi.
Kusini kuna mda debe linafika hadi40k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.