Recent content by Kilangi masanja

  1. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mbeya ni jiji? My Detailed Explanation

    Akuna kitu cha kimsingi kabisa cha kuifanya Tanga au Mbeya kua majiji,ukiondoa mkakati wa kiserikali kali kuchochea kasi ya maendeleo ya kikanda.Ila kiuhalisia hio ni miji iliochangamka tu . Ui
  2. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusafirisha vifurushi kutoka China

    Hapa nitagusia haya, mizigo toka pindou tunainunua na kuisafirisha bila tabu kupitia hawa forwading agent walioko hapa nchini na wanafikisha mizigo kwa ufanisi na uharaka tu. Mara nyingi mizigo isio na asili ya vilipukizi kwa ndege hutumia si zaidi ya siku 7toka siku mzigo utakapokua...
  3. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Nielekeze hio ya QR kwa simu upande wa crdb kwa namba kutoa cardlessly
  4. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Hio huduma kama ipo na hua naiona pia je mkuu unaweza ihusianisha vipi na nfc kwenye simu upande wa kutoa pesa bank manake kuna simu zina nfc na nikigugo naona hio feature inauwezo wa kutoa pesa kwa siku
  5. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Pombe feki zinalipa sana. Walevi jiandaeni na DIALYSIS!

    Ndio ivo akili kumkichwa ukiamua ila tuanze kupiga vita vitu fake haiipi
  6. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Degree ya Fine Arts ya UDSM inaweza kubuni art level za Diamond Platnums?

    Ukweli mtupu nikiwa mwanafunzi wa muziki kwa sasa japo nina miez mitatu ila nimejua muziki unaosomwa na huu muziki unaotajwa naiona na kuioewa tofauti yake pakubwa mnoo
  7. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Degree ya Fine Arts ya UDSM inaweza kubuni art level za Diamond Platnums?

    Asante kiongoz leo hii mimi nikiwa shule ya muziki ndio nimekuja kujua muziki tunaousoma na utofauti na huo muziki wa kina diamond unaosemwa
  8. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Jifunze njia nzuri ya kufanya manunuzi kwenye mtandao (Ebay, Amazon, Bestbuy)

    Unaweza sema umekwama kipengele kipi ili nijue pa kuanzia au ni mgeni kabisa unataka upatiwe msaada kuanzia hatua ya kujisajili na kuweka anuani zako na mengineyo?
  9. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Tulishatoa sana elimu sana na pia hadi magrupu mengi tu watu wakajiunga mfano ingia Telegram Xiaomi User sTz
  10. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Tuiache hii mada ila sio kila aliexpress standard shiping ni speedaf, na kama ndivo baada ya ujio wa speedaf basi automatically aliexpress standard shiping angebadili na jina kabisa likabak moja kama ni speedaf au aendelee na aliexpress, unachokosea ni kuamin kua speedaf ni aliex noo sema...
  11. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Lakini pia nikuulize swali mkuu dogo tu kwa nini tracking number ya speedaf inakuruhusu tu kutrack kupitia speedaf wenyewe ukiiweka kwenye site zingine za kimataifa kama 17tracking 24tracking haikupi update yeyote na hata baada ya mzigo kufika bongo hauwez ona kupitia postal tracking?
  12. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Rudia ulichokiandika tu vizuri ukisoma kisha fafanua vizuri kwa hio hao chini wote nao ni speedaf? Kwa kuzingatia tracking available
  13. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Acha uongo wako shekhe, nimekataa kwa herufi kubwa, sio kila trwcking available ni speedaf,
  14. Kilangi masanja

    JamiiForums Tanzania Watumiaji wa AliExpress, Msaada wenu tafdhali

    Swali langu unazunguka mzee je ni wewe buyer ndio una opt speedaf(alie std shipping), kupitia machaguo yaliopo kwenye majina ya wasafirishaji au inatokea tu thou unaweza chat na seller ukamuomba afanye hivo na asifanye? Huez sasa ku generalize kua buyer kila akinunua tu item ndogo eti...
Back
Top Bottom