Akuna kitu cha kimsingi kabisa cha kuifanya Tanga au Mbeya kua majiji,ukiondoa mkakati wa kiserikali kali kuchochea kasi ya maendeleo ya kikanda.Ila kiuhalisia hio ni miji iliochangamka tu .
Ui
Hapa nitagusia haya, mizigo toka pindou tunainunua na kuisafirisha bila tabu kupitia hawa forwading agent walioko hapa nchini na wanafikisha mizigo kwa ufanisi na uharaka tu.
Mara nyingi mizigo isio na asili ya vilipukizi kwa ndege hutumia si zaidi ya siku 7toka siku mzigo utakapokua...
Hio huduma kama ipo na hua naiona pia je mkuu unaweza ihusianisha vipi na nfc kwenye simu upande wa kutoa pesa bank manake kuna simu zina nfc na nikigugo naona hio feature inauwezo wa kutoa pesa kwa siku
Ukweli mtupu nikiwa mwanafunzi wa muziki kwa sasa japo nina miez mitatu ila nimejua muziki unaosomwa na huu muziki unaotajwa naiona na kuioewa tofauti yake pakubwa mnoo
Unaweza sema umekwama kipengele kipi ili nijue pa kuanzia au ni mgeni kabisa unataka upatiwe msaada kuanzia hatua ya kujisajili na kuweka anuani zako na mengineyo?
Tuiache hii mada ila sio kila aliexpress standard shiping ni speedaf, na kama ndivo baada ya ujio wa speedaf basi automatically aliexpress standard shiping angebadili na jina kabisa likabak moja kama ni speedaf au aendelee na aliexpress, unachokosea ni kuamin kua speedaf ni aliex noo sema...
Lakini pia nikuulize swali mkuu dogo tu kwa nini tracking number ya speedaf inakuruhusu tu kutrack kupitia speedaf wenyewe ukiiweka kwenye site zingine za kimataifa kama 17tracking 24tracking haikupi update yeyote na hata baada ya mzigo kufika bongo hauwez ona kupitia postal tracking?
Swali langu unazunguka mzee je ni wewe buyer ndio una opt speedaf(alie std shipping), kupitia machaguo yaliopo kwenye majina ya wasafirishaji au inatokea tu thou unaweza chat na seller ukamuomba afanye hivo na asifanye? Huez sasa ku generalize kua buyer kila akinunua tu item ndogo eti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.