Recent content by Kilala

  1. K

    JamiiForums Tanzania Mr Tariq wa ‘Kuku Farms’ kuendelea na biashara yake

    Je vibali vya mamlaka husika anavyo kutoka Bank kuu na mamlaka ya mitaji??
  2. K

    JamiiForums Tanzania Let me adress the unadressable: Jesuits & mapadri

    Watu wanaandika vitu wasivyokuwa na ushahidi..
  3. K

    JamiiForums Tanzania Project funding sources

    Naomba sample ya business plan nitumie kwenye email yangu rizikius@yahoo.com
  4. K

    JamiiForums Tanzania Project funding sources

    Naomba sample ya business plan nitumie kwenye email yangu rizikius@yahoo.com
  5. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Askofu Mstaafu Amedeus Msarikie afariki dunia leo alfajiri

    Ulikuwa mstari wa mbele ktk juhudi za upandaji wa miti hasa pale st james seminari tunakukumbuka sana kwa kutupa mazingira mazuri ya kusoma.Mungu akusamehe yale yote ambayo yalikuwa mapungufu ya kibinadamu.
  6. K

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Askofu Mstaafu Amedeus Msarikie afariki dunia leo alfajiri

    Sisi tuliosoma st james seminari tutakukumbuka kwa upendo wako pamoja na uadilifu wako.Tulipokuwa pale seminari hatukushangaa tulivyosikia umeteuliwa kuwa askofu.Mungu ailaze roho yako mahali pema peponi.Amina
  7. K

    JamiiForums Tanzania shamba shamba shamba

    Naweza kupata simu yako nikupigie kama hilo shamba bado lipo
  8. K

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mdada natafuta mchumba

    Unahitaji sifa zipi
  9. K

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi 2010: Sauti ya wananchi iheshimiwe!

    kwakweli tume hii ya uchaguzi imejionyesha isivyokuwa makini,na isiyoweza kuonyesha haki kutendeka na bora ikavunjwa mapema ili kulinda amani ya nchi yetu.Watanzania wengi niliyokutana nao wanasema wazi kabisa kwamba matokeo yaliyotolewa na tume siyohalisi pia wanasema tume hii kutokana na...
  10. K

    JamiiForums Tanzania Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Watanzania tuchukie mhalifu yoyote bila kuangalia hadhi yake ktk jamii.wizi wa aina yoyote ukilelewa ni hatari ktk jamii yetu,hakuna aliye na akili ambaye hakuona matayarisho ya haya yanayotokea sasa hivi.
  11. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 Ninaomba kura zenu ili niwe Rais wenu

    Asante dr
  12. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 Saluting a new Commander in Chief: A Military's Constitutional Duty

    Watanzania wamechoka na ngonjera za kila siku sasa wanataka mabadiliko kupitia sanduku la kura.mabadiliko yatakayo wanufaisha watanzania wote.
  13. K

    JamiiForums Tanzania GE2010 Je, Mtanzania gani anafaa kuwa Rais wetu 2010?

    awe na njozi za kutuongoza kutoka kwenye umaskini hadi kwenye maisha yaliyo bora zaidi
Back
Top Bottom