Mkataa kwao mtumwa. Wewe unatuponda wakati ndege zinafululiza kuja bara na visiwani wazungu wanapagawa na bongo hii hii chafu..kila mtu ashinde mechi zake tulipo leo ni pazuri kuliko Jana..au nasema uongo ndugu zangu?
Ni kweli watendaji wa serikali wengi wao ni miungu watu sijui huwa wanawaza nn wakiwa maofisini jaman yaan unakuta shida ndogo tu au umepeleka barua inachuku mwenzi kupata majibu ya siku moja...hasa manispaa na wilaya.
Hapa waseme mengine tu kwamba matumizi ya kuendesha lililokuwa jiji la dar es salaam ilikuwa ni kubwa Sana ila wamekurupuka na Hilo swala huko mbeleni litarudishwa...Bora wangevunja ofisi management ya mkoa na badala yk ingekuwa tu moja ofisi ya jiji la dar es salaam na manispaa zake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.