Namuona Muarabu Al Ahly akiombea Simba SC imfunge AS Vita Dar

Simba alikosea kutomfunga Msudani.

Vita na Al Ahly wanaweza songa mbele endapo mechi ijayo tukashindwa pata matokeo.

Kwa sasa tumuombee AS Vita ampige Mwarabu afu tumfunge Msudani

Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Hajakosea mkuu.

Atakosea akishindwa kuwafunga El merick na Vita hapa Bongo.

Point 1 ya jana ni muhimu mno kuliko angefungwa hapo Sudan... tuwe na kiasi bhana sio kila mechi utashinda.

Hata Al ahly na Vita wanapambana kupata point hata 1 ugenini.
 
Huyo As Vita hawezi kuwa na GD ya nne...maana alipata goli nne dhidi ya Al mereikh na goli mbili dhidi ya Al ahly jumla sita...pia amefungwa goli moja na Simba,moja na Al mereikh na mbili na Al ahly jumla goli nne ukitoa unapata mbili...so GD2 ndo inatakiwa ionekane hapo kwa As Vita...kuna makosa.
Upo makini Mkuu.
 
Kikubwa Simba ashinde michezo ya nyumbani yote 2 na kufikisha points 13 ambazo kutokana na upepo ulivo sidhani Kama kuna team ingine itazifikia, lengo iwe ni kuongoza group na kukutana na mshindi wa pili, tumkwepe mamelodi Kwa kumaliza top of the group lasivyo tukimaliza wa 2 tunaangukia Kwa mamelodi na Safari ya nusu fainali inakuwa tumekula nauli
 
Hajakosea mkuu.

Atakosea akishindwa kuwafunga El merick na Vita hapa Bongo.

Point 1 ya jana ni muhimu mno kuliko angefungwa hapo Sudan... tuwe na kiasi bhana sio kila mechi utashinda.

Hata Al ahly na Vita wanapambana kupata point hata 1 ugenini.
jana siwalaumu simba isee jua lilikuwa kali na joto 34c plus uwanja pitching ilikuwa mbovuu walijitahid sana...
 
Kazeni tu watani mana bado safari ni ndefu kwa mfano.
Hao hakitoa sare watafikisha point tano tano, nyinyi simba mtampga msudani mtakuwa nazo kumi alafu wenyewe mechi mbili zitakazosalia watatembeza kichapo zote, ambapo mechi zao n za simba na msudan, hivyo wenyewe watafikisha point 11 na nyinyi simba mtakuwa nazo kumi. Mpira ni kamali iliyo wazi😆😆😆, jitahidini sana safar bado n ndefuuuu, lasivyo wao wapuuzi wakikutana bc mmojawapo apigwe but bado mtahitaji point nne za uhakika zaidi
 
Kuingia Robo fainali tunaingia vizuri tu, Lakini tunataka kuingia kwa kuongoza kundi kabisa ,Itatupa advantage ya kuanzia Away kwenye Robo fainali.
 
Wakati tunasoma chuo kuna jamaa alifumua vizuri sana test zake za kwanza, lakini test zilizofuata zilikuwa tia maji tia maji na akaishia sup. 3. So watch it.
Kama tia maji tia maji ya Utopolo raundi ya pili ligi kuu?
 
Kazeni tu watani mana bado safari ni ndefu kwa mfano.
Hao hakitoa sare watafikisha point tano tano, nyinyi simba mtampga msudani mtakuwa nazo kumi alafu wenyewe mechi mbili zitakazosalia watatembeza kichapo zote, ambapo mechi zao n za simba na msudan, hivyo wenyewe watafikisha point 11 na nyinyi simba mtakuwa nazo kumi. Mpira ni kamali iliyo wazi😆😆😆, jitahidini sana safar bado n ndefuuuu, lasivyo wao wapuuzi wakikutana bc mmojawapo apigwe but bado mtahitaji point nne za uhakika zaidi
Leo Polisi anakupiga kamoja tuuuuu
 
Hajakosea mkuu.

Atakosea akishindwa kuwafunga El merick na Vita hapa Bongo.

Point 1 ya jana ni muhimu mno kuliko angefungwa hapo Sudan... tuwe na kiasi bhana sio kila mechi utashinda.

Hata Al ahly na Vita wanapambana kupata point hata 1 ugenini.
Hawajui mpira utopolo hao. Wanadhani Champions League=Mapinduzi Cup.
 
Wakulungwa.
Ninachofurahi mimi kwa hatua hii ya msimamo wa ligi ulipofikia sasa,mpaka wanayanga wanashiriki kujadili Simba anatakiwa afanye nini ili kufuzu hatua ya robo fainali.
Ghafla tu wamejikuta wamo kwenye mijadala kuanzia mitaani,vibanda umiza,mpaka kwenye daladala wanayanga na wenyewe wanatoa prediction zao ili Simba ifuzu.
Awapendi ila hali ilivyo wanajikuta tu nawao wamo kwenye msafara.
 
Simba next round hamna hamna hakosi Point 4, yaan afungwe Cairo, a draw na Vita Kisha amchape Msudan. Atakua na total 11 points jumla.

Waliobaki watahitaji points 7 kufikia hizo 11 za Simba. Yaan washinde mbili na draw moja. Katika hizo mbili za kushinda kila mmoja atavuna point 3 kwa Msudan.

Itabaki points 4. Vita akidraw na Simba atahitaji kumchapa Ahly pale Kinshasa. Na Ahly endapo atamfunga Simba Cairo na Msudan atahitajika kufanya kazi ya ziada Kinshasa.

So atakaeshinda Lubumbashi ndo atakaepita na Simba endapo atafanikiwa kupata Point 4 mzunguko wa pili.
Mnapiga hesabu ndeefu mnapoteza time tu timu zinazotoka ni Simba na Ellmarek
 
Back
Top Bottom