Hii nchi inakabiliwa na changamoto nyingi sana na nzito mf.ufisadi,ajira,mauaji ya albino...... sasa ninapoona watu wanakimbizana kuingia ikulu nabaki kujiuliza kama wanania ya dhati ya kutatua matatizo ya nchi hii??? au wanakimbizana kwenda kuiba???
Hawa watoto wa kike sio kwamba wanaharibika wenyewe, tunawaharibu sisi wanaume, kwa kuwapa mimba huku tukiwa tunajua wanasoma, tunawaonga magari ya kifahari unafikiri hata ukimwambia apige picha akiwa na bikini atakataa???
sisi ni chanzo!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.