Sijaona ubaya wowote kwa kijana huyu.Ninchoweza kushuri wewe uendelee na hilo lako hayamengine waachie wahusika wanajua wanachofanya na wanafanya kwaajili ya nani
Inawezekana Ila Mimi najisikia fahari nikiona ndugu wamekubaliana kukutana kijijini kwao angalau katika kipindi fulani Cha mwaka Ili kupanga Mambo yao yakifamilia
Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
Mimi nimeomba huduma mwanzoni ma mwezi wa nane mpaka leo sijapewa maelekezo yoyote miezi miyatu hamana kitu savear kapita mwezi wa kumi miezi miwili baada ya kijaza fomu na mpaka leo hamna zaidi yakuambiwa subiri nipo kisongo arusha sijajua nn tatizo nguzo ipo nje nikushusha waya na mita tu...
Hapo ndipo tunapokwama kilakitu wanaweka siasa za kijinga, hata kwahivi tunavyoviona mtu unalazimishwa tufumbe macho tusione. Mungu wa mbinguni atusaidie Sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.