Hiii Vita hiii tusipotumia akili kupambana nayo itatutafuta kuanzia Ufipa Mpaka Lumumba. Kumbukeni Ebolla haichagui Karba ya mtu, hawa wenzetu wanaotoa taarifa za namna hiii kuna namna wanataka kutuuumiza. Sote tusimame kama Maaskari Walinzi na huuuu Udhalimu. Hawachelewi kutoa mtu DRC aje afie Tziee ili kuchafua taswira ya Nchi yetu machoni mwa Watalii, Wawekezaji na Hatimaye Serikali kutumia Fedha nyingi kupambana na huu Ugonjwa na kusimamisha Miradi kama SGR, STINGLERS GORGE nk.
Tujipange kufichua hizi hujuma kupitia DSO, RSO au Namba ya Dharula ya Polisi 112.
Tanzania kwanza Chama baaadae.
Tujipange kufichua hizi hujuma kupitia DSO, RSO au Namba ya Dharula ya Polisi 112.
Tanzania kwanza Chama baaadae.